Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Makulaga,Hongera , ni Watanzania wachache sana wanamiliki Maktaba kama hiyo nyumbani ...! Nje ya mada; sijakusoma ukitoa maoni kuhusu Uwekezaji wa DP World!? Nini maoni Yako!?
Makulaga,
Mwaka wa 1968 serikali ilivunja East African Muslim Welfare Society (EAMWS)ikidaiwa ni ya Wahindi lakini ukweli ni kuwa kilichokuwa hakitakiwi na walioshika serikali ni kuwa EAMWS ilikuwa inajenga Chuo Kikuu.
Chuo hiki kingewanufaisha Waislam.
Hili halikutakuwa.
EAMWS ikapigwa marufuku Waislam wakaundiwa BAKWATA.
Miaka ya 1970 Organisation of Islamic Conference (OIC) ilitaka kujenga Chuo Kikuu Tanzania.
Serikali ikakataa kutoa kibali.
Chuo hiki kingewanufaisha Waislam.
Chuo kikajengwa Mbale, Uganda wakati wa Iddi Amin.
1997 Darul Imaan ya Saudi Arabia ilitaka kujenga Shule ya Ufundi Kibaha.
Darul Imaan ikapata ardhi Kibaha na ikalipa fidia kwa wananchi waliotoa ardhi yao.
Propaganda zikaanza magazetini kuwa Waarabu wameingia Kibaha wanapora ardhi.
Sababu ni kuwa walioshika madaraka ya serikali hawakutaka shule hiyo ijengwe.
Shule ingewanufaisha Waislam.
Darul Imaan ikasitisha ujenzi wakaondoka Tanzania.
1993 Zanzibar ikajiunga na OIC.
Serikali ya Muungano ikapinga Zanzibar ikajitoa.
Hili halikutakiwa kwa kuwa lingekuwq na manufaa kwa Waislam.
Yapo mengi yanayotendeka ndani ya serikali kuwahujumu Waislam na Uislam Tanzania.
Ushahidi upo.
Kuhusu hili la bandari.
Hofu ni ile ile.
Hofu ya Uislam.
Waarabu ni Waislam na Uislam hautakiwi waliohodhi madaraka.
Kwa hiyo Kiongozi baadhi ya Vifungu vya Mkataba vinavyolalamikiwa vipo sawa,ila ni tatizo ni hofu ya Uislam!?Makulaga,
Mwaka wa 1968 serikali ilivunja East African Muslim Welfare Society (EAMWS)ikidaiwa ni ya Wahindi lakini ukweli ni kuwa kilichokuwa hakitakiwi na walioshika serikali ni kuwa EAMWS ilikuwa inajenga Chuo Kikuu.
Chuo hiki kingewanufaisha Waislam.
Hili halikutakuwa.
EAMWS ikapigwa marufuku Waislam wakaundiwa BAKWATA.
Miaka ya 1970 Organisation of Islamic Conference (OIC) ilitaka kujenga Chuo Kikuu Tanzania.
Serikali ikakataa kutoa kibali.
Chuo hiki kingewanufaisha Waislam.
Chuo kikajengwa Mbale, Uganda wakati wa Iddi Amin.
1997 Darul Imaan ya Saudi Arabia ilitaka kujenga Shule ya Ufundi Kibaha.
Darul Imaan ikapata ardhi Kibaha na ikalipa fidia kwa wananchi waliotoa ardhi yao.
Propaganda zikaanza magazetini kuwa Waarabu wameingia Kibaha wanapora ardhi.
Sababu ni kuwa walioshika madaraka ya serikali hawakutaka shule hiyo ijengwe.
Shule ingewanufaisha Waislam.
Darul Imaan ikasitisha ujenzi wakaondoka Tanzania.
1993 Zanzibar ikajiunga na OIC.
Serikali ya Muungano ikapinga Zanzibar ikajitoa.
Hili halikutakiwa kwa kuwa lingekuwq na manufaa kwa Waislam.
Yapo mengi yanayotendeka ndani ya serikali kuwahujumu Waislam na Uislam Tanzania.
Ushahidi upo.
Kuhusu hili la bandari.
Hofu ni ile ile.
Hofu ya Uislam.
Waarabu ni Waislam na Uislam hautakiwi waliohodhi madaraka.
Makulaga,Kwa hiyo Kiongozi baadhi ya Vifungu vya Mkataba vinavyolalamikiwa vipo sawa,ila ni tatizo ni hofu ya Uislam!?
Yericko Nyerere Una neno la kuongezea kwa mzee wetu?Makulaga,
Mwaka wa 1968 serikali ilivunja East African Muslim Welfare Society (EAMWS)ikidaiwa ni ya Wahindi lakini ukweli ni kuwa kilichokuwa hakitakiwi na walioshika serikali ni kuwa EAMWS ilikuwa inajenga Chuo Kikuu.
Chuo hiki kingewanufaisha Waislam.
Hili halikutakuwa.
EAMWS ikapigwa marufuku Waislam wakaundiwa BAKWATA.
Miaka ya 1970 Organisation of Islamic Conference (OIC) ilitaka kujenga Chuo Kikuu Tanzania.
Serikali ikakataa kutoa kibali.
Chuo hiki kingewanufaisha Waislam.
Chuo kikajengwa Mbale, Uganda wakati wa Iddi Amin.
1997 Darul Imaan ya Saudi Arabia ilitaka kujenga Shule ya Ufundi Kibaha.
Darul Imaan ikapata ardhi Kibaha na ikalipa fidia kwa wananchi waliotoa ardhi yao.
Propaganda zikaanza magazetini kuwa Waarabu wameingia Kibaha wanapora ardhi.
Sababu ni kuwa walioshika madaraka ya serikali hawakutaka shule hiyo ijengwe.
Shule ingewanufaisha Waislam.
Darul Imaan ikasitisha ujenzi wakaondoka Tanzania.
1993 Zanzibar ikajiunga na OIC.
Serikali ya Muungano ikapinga Zanzibar ikajitoa.
Hili halikutakiwa kwa kuwa lingekuwq na manufaa kwa Waislam.
Yapo mengi yanayotendeka ndani ya serikali kuwahujumu Waislam na Uislam Tanzania.
Ushahidi upo.
Kuhusu hili la bandari.
Hofu ni ile ile.
Hofu ya Uislam.
Waarabu ni Waislam na Uislam hautakiwi waliohodhi madaraka.
Hawa Maaskofu wanaojifanya wana uchungu mkubwa na nchi hii wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika hakuonekana popote katika kupambana na Wajerumani na Waingereza.
Maaskofu walimkimbia Julius Nyerere.
Kuna mtu kanipa changamoto kaniambia nimtafutie picha ya Nyerere na Maaskofu wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika atalipa 1m kwa kila picha.
Wapi tunaweza kupata picha hii?
Makulaga,
Yawezekana kuna makos
Kuna story zina sema Nyerere alichangiwa pesa na wakristo wakina Rupia na Familia za wakina mbowe
Pia kuna story zina sema nyerere alipewa pesa na taasisi ya kikristo huko ughaibuni na aliwashukuru ktk moja ya hotuba yake
Mohamed Said una weza tusaidia kwa ufafanuzi?
Challah,Kuna story zina sema Nyerere alichangiwa pesa na wakristo wakina Rupia na Familia za wakina mbowe
Pia kuna story zina sema nyerere alipewa pesa na taasisi ya kikristo huko ughaibuni na aliwashukuru ktk moja ya hotuba yake
Mohamed Said una weza tusaidia kwa ufafanuzi?
Makulaga,Pamoja na kuwa umuuliza Mzee Said ...ila hili lipo wazi Nyerere alichanguw na wazalendo wengi tu..Waislam,Wakristo na Wapagani pia!
tMakulaga,
Yawezekana kuna
Bila shaka hawajengi bure,WANALIPWA.1)Waturuki wanajenga SGR, wakristo kimya
2) Wamisri wanajenga Stigler's Gorge. Wakristo kimya
3)UAE wanataka kujenga bandari, wakristo wanakataa.
Hitimisho, wakristo hawataki waislam. Kweli?
t
Tatizo lako comrade unaendekeza udiniHUYU NI EMMANUEL MUGANDA WA VoA
Leo nimetembelewa na Emmanuel "Jenkins" Muganda ambae hatujaonana toka miaka ya mwishoni 1968 alipoondoka Tanzania kwenda kusoma Marekani.
Leo kanitembelea nyumbani kwangu Magomeni Mapipa na kunionyesha yeye ni mtoto wa mjini kaja na Bajaj.
Mimi nimesimama nje ya nyumba yangu (dereva anaemleta asipate shida ya kujua kwangu huku napiga simu) nasikia sauti ya Emmanuel inatoka ndani ya Bajaj, "Nakuona, nakuona..."
Msikilize ndugu yangu huyu aliyepata kuwa Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Amerika, Washington DC.
View: https://youtu.be/0WHiPCP7NOk?si=Aa2ZJM3jxL6S6oBm
Labda tunatofautiana uelewa kuhusu Mapambano ya Uhuru,kama weweuna maanisha Uhuru Kwa maanà ya TAA NA TANU basi sawa!Makulaga,
Safari ya Mwalimu UNO 1955 Mweka Hazina wa TANU alikuwa Iddi Faiz Mafungo ambae alikuwa Mweka Hazina wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika).
Katibu wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika alikuwaKw hiyo bbu Ali Mwinyi Tambwe.
Wote hawa walikuwa viongozi wa juu wa TANU.
Mkusanyaji wa fedha za safari ya Nyerere UNO alikuwa Iddi Faiz na alitoa fedha kutoka Al Jamiatul Islamiyya kuchangia safari ya Nyerere.
Wapagani hawapo popote katika historia ya uhuru.
Hafla ya kumuaga Mwalimu ilifanyika katika jengo la Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika.
Wapagani tena!Makulaga,
Safari ya Mwalimu UNO 1955 Mweka Hazina wa TANU alikuwa Iddi Faiz Mafungo ambae alikuwa Mweka Hazina wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika).
Katibu wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika alikuwa Ali Mwinyi Tambwe.
Wapagani hawapo popote katika historia ya uhuru.
Hafla ya kumuaga Mwalimu ilifanyika katika jengo la Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika.