Mmenishinda sina pumzi[emoji16]Umetuchokaje wakati sisi hatujakuchoka? Unataka kutuachia peke etu?
3 some hapana kila mtu kwa muda wake labdayani unanitega shemeji, Ila kama unataka threesome ongea na mama Sabrina niko tayari, mie sio mchoyo.
Hapo hajapendwa!Amemfollow tu kachanganyikiwaKupenda raha, kupendwa na unaempenda ni tiba tosha.
Hongera ndugu yangu.
Kwahiyo alijua ndo kaopoa bwana ivoo?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Pole yake maskini. Halafu sijui anampenda badoKuna mwenzako analiaa tu huko alidhan akapata kumbee wapi miss
Khaaa na yule msomali unamtaka? Daudi mnamtaka,docta mnamtaka hamuogopi ukimwi nyie,,,ina maana mnaona mi nafaidi amaHata ukija na Id ya kiume mimi nakujua wewe mpaka kivuli chako.
Na nasema tunakomaa humo humo wanaume wenyewe wachache.
Dakika ya 5 nimeaga mashindano!Lincoln keshaaha mashindano zamanii mi refa tu ndio nimebaki
HatutokiiiHata ukija na Id ya kiume mimi nakujua wewe mpaka kivuli chako.
Na nasema tunakomaa humo humo wanaume wenyewe wachache.
Ahahahahajaj nabishaaa kweupeee nakupa wikiIla Tanga mwisho wa matatizo muulize mshana kwa nini!
Mtu keshakamatika.Akijamba akipumua anamwona mtoto huyu hapa!
Mama shida zangu ndio zinanibana tu binadamu hawezi labda wanangu tu na hii mimba changa.Aliekubana siku hizii,,tumekaribia kukublock kabisaa mpuuzi wewe,,ina maa boo ni tamu kuzidi sisi ama
Sasa nani kakuharibia siku mim au docta au roho inakuuma
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] umenichekesha sana ujue.Ila Tanga mwisho wa matatizo muulize mshana kwa nini!
Mtu keshakamatika.Akijamba akipumua anamwona mtoto huyu hapa!
Sitaki hata two some ,mim na wewe tu daudi ntakublock
Mie nikajua kaishapendwa..Hapo hajapendwa!Amemfollow tu kachanganyikiwa
Mpaka Max namtimbia huko huko.Khaaa na yule msomali unamtaka? Daudi mnamtaka,docta mnamtaka hamuogopi ukimwi nyie,,,ina maana mnaona mi nafaidi ama
Ntakupa mkurya mwingine tena yeye anakaa Geita tu hapo.Mi na wachaga mbali mbalii nataka mkuryaa nataka unipe roho yako inapotaka
Makaveli nisaidie kumchukua mzigua ananisumbua sanaKupenda raha, kupendwa na unaempenda ni tiba tosha.
Hongera ndugu yangu.
Wanawake tupendaneeHatutokiii
Kauli mbiu yetu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Khaaa nampumzika kuna sehemu nimekamatika haswaa sipumui sijambiiUmetuchokaje wakati sisi hatujakuchoka? Unataka kutuachia peke etu?
Mi sura tumuachie Mungu bwana. Msukuma ndo nani mbona simjui? [emoji85] [emoji85][emoji38]Mimi nawakubali wazigua wamefundwa wakafundika!
Wamekwiva!Kuanzia sura,mapishi,tabia na malezi sasa huyo na Usukuma wake atasanda!
Usiogope shikamoo kah