MJINI CHAI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2010
- 2,202
- 1,228
Mjini kunoga Chai Baba...............wewe uko wapi............!!!!Siwezi angali TBC hata iweje!
Mkuu Chai ya Mjini Inanoga.................Pia kumbuka Uzalendo siyo lazima Uione CHAI Tamu hasa ya Mjini.....................Uzalendo ndani ya umaskini wa kuishi kwa kunywa chai mujini sio!
Mkuu Chai ya Mjini ni KIU CHA MACHO................Mkuu kama huna kazi kabisa ya kujishughulisha muda huo si bora ukaangalia vipindi vya kutangazwa Washindi wa BIKO na Tatu Mzuka utakuwa hata umepata kitu cha kufikirisha Ubungo?
wacha weeeeeeeeeee.........................!!!Hiyo channel japo Ni ya bure ila kwangu nimeifuta. Clouds ipo njiani,itv inakaribia kufutwa,star tv nayo vilevile.
kabisaaaaaa!wacha weeeeeeeeeee.........................!!!
Usipate tabu. Nunua DSTV decoder kifurushi cha 69,000/. Ule uhondo.achana na hizoHiyo channel japo Ni ya bure ila kwangu nimeifuta. Clouds ipo njiani,itv inakaribia kufutwa,star tv nayo vilevile.
Ina uhakika......................???!!! acha Mihemuko................!!!Kama mzalendo namba 1 anaangalia shirawadu, huoni kwamba ata yeye TBC ishamchosha?
hahaaaKama mzalendo namba 1 anaangalia shirawadu, huoni kwamba ata yeye TBC ishamchosha?