Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Sijasema umvumilie bali mvumilianeYaan mi nimvumilie yeye????
Iswe kwe wapanga, ko tima mamdege na ma ntonga gegela kupya.Hahahaha niho SA ila igholo ntakuwa Daslamu.
Hahahahahhnhahahahahahah
Pale had nipite tena ndo ntapaweka vzur,manake ni mbele ya diamond ukumbi kuna tuta nadhan unavuka half upande wa kulia unaingia hiv,pamekaa hovyo hovyo flan ila ,nilikuta madereva weng wa taxii hapo,..yaan mi mwenyew ndo nmepitishwa leo mkuu,aiseee wacha kabsaaa.ni balaaa..
Duuh mkuu sahani mbili ndo mpk uje mbio kufungua sred JF wakati hizo kijana wangu wa darasa la tatu ndo anazipiga daily....Wakuu,mnajua ubachela ni mzigo,..kuna baadh ya vyakula sili tena et,..na ikitokea nikavibabatiza mahal hua nachanganyikiwa kabsaaaaa
Leo kuna kona moja hiv mitaa ya diamond jubilee jamaa yangu alinambia pana msos mzur,.si pasaf sana kwakwel,..ila kiukwel sjawai kula chakula kama kile,kiukweli...misos kama ile nkiendaga nyumban ndio mama yangu hua anapika napata ile taste,.
Ila sio dem /madem/mchepuko wangu ama mwanamke yoyote aliwai pika nkala msos ka ule,..kiukwel yule mama anaepika pale leo kanifanya nione kua kuna umuhimu wa kwakwel kuchagua mwenza wa ndoa ambae yuko vzur jikon,
Nmekula had watu wakawa wananiangalia mara mbil mbil.maana baada ya sahan ya kwanza,nkamaliza nkaagiza nyingne
Vyakula vya kiofis ofis havina ladha,halaf unawai shiba mapema sjui kwanin.
Jaman mim napenda sana maharage,samak,kisamvu na ubwabwa.daaah,..aww na mchuziiii
Samahanin kwa uzi wa kijinga,ila nmeona nishee furaha yangu na wakuu
Sasa nikujibu nini kama umeshanihukumu tayari?basi kesho ukinywa chai na vitumbua vitamu njoo ufungue uzi tena,naona unanilazimisha kuuponda huu uzi wako! Hiyo ni kazi ndogo sana.Soma tena uzi,hukunielewa....mi nafanya diet mkuu,na sijala vyakula hvyo mda mref,so leo niliamua kukata kiu,...au we ndo wale wazee wa kuponda tuu chochote kiandikwacho jf,..ts weird,b positive tu,wala si gharama
Hahahah,mkuu,hzo mambo wacha kabsaaa,..vmekua adim hvyo sana,na wish niwe nakula kila siku,ila siwez sasa,watu wetu wa karib hawawez pika hvyo,wala hawavielew kabsa,sjui kama unanielewa.Mimi mwenyewe kisamvu siwezi kula bila maharage,yaani lazima viende pamoja na samaki au dagaa mchele
Wali maharage mixa na kisamvu halafu ashushie na bia hahahaaa....asipotapika utumbo sijui....Sahani mbili umemaliza mwanaume wa dar????!!!!!!
Shushia bia nitalipa
Hahahah,mkuu,hzo mambo wacha kabsaaa,..vmekua adim hvyo sana,na wish niwe nakula kila siku,ila siwez sasa,watu wetu wa karib hawawez pika hvyo,wala hawavielew kabsa,sjui kama unanielewa.
Mi nna bahat mbaya ya kua na wadada ambao wao hua hawapend kula,yaan ukae unasifia vyakula hvyo,atakwambia yaan we na mivyakula yako,siipendiii..wao ni machips,spaghet,kuku,ma juicy ya kina mark etc.na mi wine,ila vtu adim kama hvi hawez kukuelewa
Hiv unajua kadir unavokua na kua mtu mzima uwezo wa kula unapungua,..mim kipind niko o level u boys ni huko,nilikua namaliza sahan had 3,au kitimoto kilo2na ugal,.ila nw siwez,.so sishangai mtoto mdogo kumaliza huo msos,Duuh mkuu sahani mbili ndo mpk uje mbio kufungua sred JF wakati hizo kijana wangu wa darasa la tatu ndo anazipiga daily....
Ameshiba sana tumbo limejaa wali maharage vidole vinamtetemeka hawezi kuandika vizuri mvumilie tu.Wewe kwanini unaandika kama mwanafunzi wa sekondari? Huwezi kuandika kwa usahihi?
Eeeeh. Nazi ya asili.
Abembeleze kwa kuwa ndoa ni yake pekee?Hiv mwanamke wa kupenda junk foods n take aways,huyo si ni bomu la kulipuka mda wowote,badala abembeleze ndoa yeye anajisahau.mwenzie bado naiperuz cv yake tuu