Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Ligi kuu ya NBCPL leo rasmi inatamatika kwa kucheza michezo nane na hadi sasa Bingwa ni Yanga lakini tutashuhudia vita vikali vya kumaliza nafasi ya pili ambapo hapa ni Simba sc na Azam fc ambao ndiyo wanao wanao wania nafasi hiyo
lakini vita nyingine ni ya mfungaji bora kati ya Aziz Ki wa Yanga na Feisal Salum wa Azam wote hawa wakiwa wamefunga magoli 18, nani kuondoka na kiatu?
Kivumbi kingine ni kutafuta nafasi ya kucheza playoff hapa ni Geita Gold na Dodoma jiji nani kumfuata Mtibwa Sugar ambaye kashashuka ligi rasmi.
lakini vita nyingine ni ya mfungaji bora kati ya Aziz Ki wa Yanga na Feisal Salum wa Azam wote hawa wakiwa wamefunga magoli 18, nani kuondoka na kiatu?
Kivumbi kingine ni kutafuta nafasi ya kucheza playoff hapa ni Geita Gold na Dodoma jiji nani kumfuata Mtibwa Sugar ambaye kashashuka ligi rasmi.