Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Kocha mbrazil mi nampa matches 3 tu kuanzia leo. Nlisema kuwa hapa Simba walijisahau kuwa wapo Africa tena Tanzania. Kumleta kocha Mzungu wakati kuna Waswahili walishakaa na Team.
Leo hawa Mbwa wanaenda chezea kichapo. Si wanajifanya wao hawaamini ushirikina wana team nzuri? Dodoma Mji inaenda kuwalamba. Ndo wataanza kutafutana. Yaani wakijitahidi sana ni draw.
Mtaalamj wetu ameshaitwa aende kuwasadia Dodoma Jiji na ameenda mapema tu leo kuweka mazingara sawa. Sioni Simba wakishinda. Sioni.kila napotizama sioni wanamshindia wapi Ankoli ami angu toka Pemba ambaye amepelekwa jana Dodoma na leo ameshafanya yake.
YANGA ASIPOCHUKUA UBINGWA MWAKA HUU NIITWE MBWA DUME NIMEKAA PALE 👉
Leo hawa Mbwa wanaenda chezea kichapo. Si wanajifanya wao hawaamini ushirikina wana team nzuri? Dodoma Mji inaenda kuwalamba. Ndo wataanza kutafutana. Yaani wakijitahidi sana ni draw.
Mtaalamj wetu ameshaitwa aende kuwasadia Dodoma Jiji na ameenda mapema tu leo kuweka mazingara sawa. Sioni Simba wakishinda. Sioni.kila napotizama sioni wanamshindia wapi Ankoli ami angu toka Pemba ambaye amepelekwa jana Dodoma na leo ameshafanya yake.
YANGA ASIPOCHUKUA UBINGWA MWAKA HUU NIITWE MBWA DUME NIMEKAA PALE 👉