Leo Simba kuvunja mwiko au kuendelea kuwa mateja wa Kagera Sugar?

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Leo saa 10 jioni kunatarajiwa kuwa na game Kali Kati ya kagera sugar vs simba.simba imeshinda game 1 pekee Kati ya game 5 za mwisho waliokutana na kagera sugar na kagera kashinda game 4.

Bad news kwa Simba: watawakosa erasto nyoni,gadiel Michael na chama kwenye game ya leo.

Je Simba atatoboa Leo au ataendelea kugawa point kwa kagera sugar?
 
Kama kawaida kagera sugar anaenda kumpapasa simba masharubu kama kawaida yao


Camoooon kagera sugar goaaaal
 
Yanga kashaitoa zesco? Achana na simba hangaika na yanga yako
 
Mikia ndio tuwape kipaumbele kwenye hili swala. πŸ˜€πŸ˜€

Kama nawaona Mioyo inavyodunda kwa kasi kila wakiiwaza saa 10 na dkk 90 zitakavyokuwa.🀣🀣🀣
 
Bad news kwa Simba: watawakosa erasto nyoni,gadiel Michael na chama kwenye game ya leo.
Kuwakosa hao wala si bad news, tena hata Mkude, Manula, na Kagere wakikosekana, bado kikosi ni kipana mnoo na kitashinda
 
Naamin leo Simba anashinda, kukosekana kwa Erasto Nyoni ni pengo kubwa sana ila hao wengine hawana shida.
 
Mechi ya kawaida mikia mnaitafutia kiki...washa tv jmosi mechi kubwa kuliko zote Afrika..wanaume wanavunja rekodi Ndola...
 
simba akishinda leo natembea uchi Kariakoo.... Kagera Sugar 3 Mbumbumbu 0
 
piga hao mikia FC.
 
Wahindi Wanasema Leo Iko Kitu Mbili Tokea
Ama K*nd* Toboka, Ama Chanika Yote
πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜‘πŸ˜πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…