Leo Simba tunacheza 4-1-4-1 Kumkabili Ruvu Shooting kwenye AFC

Leo Simba tunacheza 4-1-4-1 Kumkabili Ruvu Shooting kwenye AFC

Venus Star

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2018
Posts
26,519
Reaction score
78,311
Wandugu leo tunacheza Formation ya 4-1-4-1 kwaajili ya kumbaka Ruvu.

Screenshot_20220216-112616.png
 
Tukishafunga magoli 5 tunabadilisha formation tunacheza 4-3-3
Screenshot_20220216-115454.png
 
Mkuu, hapo kwenye kiungo mkabaji sidhani kama Lwanga anaweza kuanza pekeyake.

Nadhani bado hana match fitness kwahiyo hawezi kupewa jukumu la kukaba peke yake. Labda kama ataanza na Mzamiru kama "double pivot"

Vinginevyo, kikosi kiko vizuri
 
Ruvu shooting hamna timu pale saivi hata ingekua 9-1 simba anashinda tu.
 
isiwepo penati wala red card …………………...
 
Wawa na mkude wataanza halafu lwanga ataingia baadae.... morisoni pia hawezi kuanza moja kwa moja ataingia kipindi cha pili.. japo nakupongeza kikosi umekipanga vizuri...
 
Simba tupende kumchezesha Mugalu mara kwa mara ili again confidence, kiukweli mimi sijaona mshambuliaji ambaye anamuweka Mugalu bench kwa timu yetu ya simba, ndiyo hafungi kwa sasa lakini Mugalu ana faida sana mbele ukiwa na watu kama Banda na Sakho, haina ya ushambuliaji alionao Kagere umepitwa na wakati kwenye modern football.
 
Simba tupende kumchezesha Mugalu mara kwa mara ili again confidence, kiukweli mimi sijaona mshambuliaji ambaye anamuweka Mugalu bench kwa timu yetu ya simba, ndiyo hafungi kwa sasa lakini Mugalu ana faida sana mbele ukiwa na watu kama Banda na Sakho, haina ya ushambuliaji alionao Kagere umepitwa na wakati kwenye modern football.
Unaona mpira kama mimi. Mugalu akichezeshwa mara kwa mara ni bonge la striker.
 
Back
Top Bottom