Leo tarehe 30,Mshahara wangu umeshaisha

Leo tarehe 30,Mshahara wangu umeshaisha

vampire_hunter007

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2015
Posts
1,034
Reaction score
2,624
Dah kudadadeki! Maisha magumu sana *****......Yani mshahara umeingia tar 25 leo nipo mweupeeee. . . Pesa yote kwishney. . Dah


Anyways, hivi ile mimba ya wema ni ya luis au idris? Na naskia lady jay dee kafulia ni kweli?
 
Dah kudadadeki! Maisha magumu sana *****......Yani mshahara umeingia tar 25 leo nipo mweupeeee. . . Pesa yote kwishney. . Dah


Anyways, hivi ile mimba ya wema ni ya luis au idris? Na naskia lady jay dee kafulia ni kweli?
hongera kwa matumizi yaliyobora mi hapa nilipo nna siku 3 sikumbuki kama nilishapokea salary
 
Pole sana.... mimi hata sifikiri kuutumia...
 
Dah kudadadeki! Maisha magumu sana *****......Yani mshahara umeingia tar 25 leo nipo mweupeeee. . . Pesa yote kwishney. . Dah


Anyways, hivi ile mimba ya wema ni ya luis au idris? Na naskia lady jay dee kafulia ni kweli?
Dah kudadadeki! Maisha magumu sana *****......Yani mshahara umeingia tar 25 leo nipo mweupeeee. . . Pesa yote kwishney. . Dah


Anyways, hivi ile mimba ya wema ni ya luis au idris? Na naskia lady jay dee kafulia ni kweli?
Mi mshahara wangu uliisha kabla ya kuushika,nilipoupata umefanya kupita njia tu. Mimba ya wema muhusika ni Ali kiba, na Jide hajafulia, ila habari njema kwake ni kuwa karudiana na Gadna.
 
Mnabishana bure tu
Mimi mtoto wa kishua ndo niliyempa mimba Wema c unajua anapenda watu smart co wachafu km ng'ombe bhana !!!
 
Mbona kawaida sana mm nimebakiwa na 50k Leo asbh,ndio maisha yetu ya kila sk mkuu
 
mimi BUMU niliingiziwa tarehe 20 january,,,leo limeisha na semester inaisha mwezi wa tatu.... teh teh ni shida aseeh
 
maisha ya watz yanafanana
ni bora mad ice anajibebea box la bibi uakika per 20kg 40k
 
Hahahah hii hali nomaa

Pesa inakata week 1 unahustle week 3
 
Back
Top Bottom