πππ Mambo ya histolia haya, ivi irikua 1998Ni jambo jema
Hata Tanu walipokaribia kuungana na ASP ilikuwaga hivi hivi bwashee!
π€©π€©π€© 1977πππ Mambo ya histolia haya, ivi irikua 1998
Kunyweni sumu mumfuate bwana wenu Magumashi huko jehanamPicha inajieleza ....
======
View attachment 2541017
Watumishi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wakiendelea na maandalizi kwa ajili ya kukuletea mbashara matangazo ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), yaliyoandaliwa na baraza la wanawake la chama hicho (BAWACHA).
Maadhimisho hayo yatafanyika kesho katika ukumbi wa Kuringe mjini Moshi mkoani Kilimanjaro, ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Matangazo hayo yatakuwa mbashara TBC1, TBCOnline, na TBC Taifa.
Hapo inatumika "Mbinu Namba Sita" (Kulamba Asali).Picha inajieleza ....
======
View attachment 2541017
Watumishi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wakiendelea na maandalizi kwa ajili ya kukuletea mbashara matangazo ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), yaliyoandaliwa na baraza la wanawake la chama hicho (BAWACHA).
Maadhimisho hayo yatafanyika kesho katika ukumbi wa Kuringe mjini Moshi mkoani Kilimanjaro, ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Matangazo hayo yatakuwa mbashara TBC1, TBCOnline, na TBC Taifa.