Kwa hiyo saiv viben ten ni dili. [emoji12] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] mbavu zangushishi ameshawahiwa na uchebe, jide anakiben ten chake kutoka Nigeria, riyama naye anacho cha kwake.....kiufupi wengi wameshajipatia viben ten vyao...labda umjaribu dida shaibu umuoe ndoa ya saba sijui ya nane...
Kwakweli nimesikia ila sana, Mimi si mtu wa kupata taarifa hii kwenye thread.Msikose kwenye ndoa yangu na Faiza foxy
ni mkubwa huyo huko chini wanavosemaga...sasa inawezekana we mwenyewe akikufungulia zipu ndo utaanza kujickia aibu ukiona ndonga ya dogo ilivojaa...hlf ndo utajisemea kimoyomoyo...kumbe si mtoto huyu nilikuwa namdharau bure tu maskini..Uwoya jamani haoni hata aibu hako katoto kalivyo kadogo dooh
Aitheee Hii Kalishishi ameshawahiwa na uchebe, jide anakiben ten chake kutoka Nigeria, riyama naye anacho cha kwake.....kiufupi wengi wameshajipatia viben ten vyao...labda umjaribu dida shaibu umuoe ndoa ya saba sijui ya nane...
VYUMA VIMEKAZA, ALIKUWA MPIKA CHAI WA MKWERE IKULU, BAADA YA KUTIMULIWA HATA BANDO LA KUINGIA JF NI LA KUVIZIAHow mkuu?
Ni kati ya mamembers ninaotamani kukutana nao maana ni mtu mwenye uelewa wa mambo mengi sana.
Personally namkubari sana sema sijui yuko wapi maana sioni comments zake siku hizi.
Eeh.. Inakwama??Uwoya jamani haoni hata aibu hako katoto kalivyo kadogo dooh
Vinakuwaga na mitarimbo ya haja huwezi jua labda kapendea hiyo sekta.Uwoya jamani haoni hata aibu hako katoto kalivyo kadogo dooh
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Msikose kwenye ndoa yangu na Faiza foxy
Entourage ya dogo Janja tayari tumetia timu hapa Clouds FM, mimi nikiwa kama mpiga picha wa dogo Janja sasa hivi tunasaini kitabu cha wageni tayari kuingia kwenye kipindi.
Kaa hapa hapa kwa updates zote
Ile baa ya uwoya pale mbele ya La Chaaz inajaza ajabuuuEeh.. Inakwama??