Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,303
MJ aksante kwa advice but mh ............ hapana. Na hata hiyo hamu ya uDaSophy wala sina na siweziifikia jamani kama ni kikombe kwangu kimejaa pomoni wanasema kaka yangu. AksanteMwanajamiiOne HAVE FAITH! You need a partner believe me! Sitaki ufike pahala u assume u Dada Sophy!
MJ aksante kwa advice but mh ............ hapana. Na hata hiyo hamu ya uDaSophy wala sina na siweziifikia jamani kama ni kikombe kwangu kimejaa pomoni wanasema kaka yangu. Aksante
Thanx MJ will remember your advice siku moja am sure. Na kweli hayo ya kufake tena kaazi kweli kweli