Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Yani nachefukwa mimi. Na ni wanaume kabisa etiNdio maana Hayati Mkapa aliwaita Wapumbavu na malofa ,nikajua mngebadilika kumbe bado ule ututusa mnao
Ndio maana Hayati Mkapa aliwaita Wapumbavu na malofa ,nikajua mngebadilika kumbe bado ule ututusa mnao
Mpumbavu na lofa ni yule asiyejua haki zake za msingi katika maisha, ndiyo sababu Mkapa akagawa mali za wananchi kwa watu binafsi akikoleza ufisadi huku akijua watanzania tutakula nyasi kwani tumelala.Ndio maana Hayati Mkapa aliwaita Wapumbavu na malofa ,nikajua mngebadilika kumbe bado ule ututusa mnao
Umepotea kamanda ila hujachelewa bado kuzirudia akili zako. Hata hao mnaotaka kuwaonesha Tanzania hakuna Uhuru wanatambua na wanafahamu Tanzania ni Taifa huru kimawazo na kifikra.Mpumbavu na lofa ni yule asiyejua haki zake za msingi katika maisha, ndiyo sababu Mkapa akagawa mali za wananchi kwa watu binafsi akikoleza ufisadi huku akijua watanzania tutakula nyasi kwani tumelala.
Upumbavu ni kuminywa haki zako kisha unakaa kimya mpaka alikuminya akufanyie hisaniMpumbavu na lofa ni yule asiyejua haki zake za msingi katika maisha, ndiyo sababu Mkapa akagawa mali za wananchi kwa watu binafsi akikoleza ufisadi huku akijua watanzania tutakula nyasi kwani tumelala.
Tatizo lako ni uelewa mdogo, kabla ya kukurupuka ungesoma vizuri na kuelewa kisha ungeandika badala ya kuandika bila ya kusoma na kuelewa.Umepotea kamanda ila hujachelewa bado kuzirudia akili zako. Hata hao mnaotaka kuwaonesha Tanzania hakuna Uhuru wanatambua na wanafahamu Tanzania ni Taifa huru kimawazo na kifikra.
Ndivyo watanzania wanavyopenda, kuna mtanzania amelazimishwa kupigana vita kwenye jeshi la Urusi na ameuawa, watanzania tuko kimya, serikali iko kimya! Dunia inatushangaa.Upumbavu ni kuminywa haki zako kisha unakaa kimya mpaka alikuminya akufanyie hisani
Leo ni siku muhimu sana katika historia ya Tanzania siku ambayo watawala wamewapa watawaliwa Uhuru wa kupaza sauti zao, mkoloni wa kiingereza hakuwahi kuwafunga midomo watanganyika kupaza sauti zao kudai Uhuru, waliodai Uhuru hawakufanywa lolote kwani ilikuwa ni haki ya watanganyika kudai Uhuru na hii ni tofauti baada ya kuingia watawala wenyeji.
SHIME WANANCHI TUIJENGE NCHI YETU KWA PAMOJA.
Pengine hujaandika wewe hii mada lakini kama umeandika rudia kusoma ulichoandika pengine ulikituma bila kujua. Umeandika hivi leo 21.01.2023 ni siku ya Uhuru wa Tanganyika, narudia tena acha ututusa Tanganyika ni huru .Ndivyo watanzania wanavyopenda, kuna mtanzania amelazimishwa kupigana vita kwenye jeshi la Urusi na ameuawa, watanzania tuko kimya, serikali iko kimya! Dunia inatushangaa.
Tatizo lako ni uelewa mdogo, kabla ya kukurupuka ungesoma vizuri na kuelewa kisha ungeandika badala ya kuandika bila ya kusoma na kuelewa.