spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Mkuu huyu unamfaham au tumpitishe kule tukamwone?Leejay49 ananyota sana halafu wanaendana na mshamba_hachekwi
Watoto wanapevuka zinawasumbui utulivu zeroHii challenge niliiona twitter.
Mnataka mgundue nini haswa?
Nampitisha PM hapo akitoka naomba apitie masijala hapaBado hajajitambulisha kwangu mwambie aje pm nimshauri
Leejay49
Mkwe, mwanangu ana taarifa?Nimemtumia huo ujumbe mama mchungaji, hadi sasa hivi hajajibu nahisi bado yupo ibadani...
Leejay49 ni rafiki yangu sitaki kuvuka huo mpaka😂Leejay49 ananyota sana halafu wanaendana na mshamba_hachekwi
Aaaah! Haya mambo mengine sio🤣🤣🤣Watoto wanapevuka zinawasumbui utulivu zero
afu leo jumapili mzee wangu nyege hatuzingatii sana 😂Unataka hutaki kufa na hanu zako, shenzz kabisa😂😂
Akili zangu nazijua mimi, unaweza kunitukana badala ya kukuchukia ndio kwanza nacheeka kwa furaha...then nakurudia kukwambia nakupenda hadi naumwa😂😂😂😂Aaaah! Haya mambo mengine sio🤣🤣🤣
Upewe jibu konki akili zikukae sawa.
Analipa?Unataka kumsaidia?
Nimetamka wapi huo uchafu?afu leo jumapili mzee wangu nyege hatuzingatii sana 😂
Ya hela yote.Analipa?
sasa hamu umemaanisha nini....Nimetamka wapi huo uchafu?
Sio pesa, anavutia?Ya hela yote.
WAtu wana stress zao hawataki ujinga😂😂Mbona hamtumi hizo screenshots?
Yaani ni full package huyo.Sio pesa, anavutia?
Anajielewa?
Anaweza kunifanya mwenye furaha?
kwa umri wangu nimevuka kufunua ilimradi sketi...ukiona nimekodolea mahali ujue kuna kitu zaidi ya kitu😂😂