Lakini kukutana kunajenga aibu ya kuchangia mada...thats my observation!
Leo hii ukikutana na Jingalao utaanza kueneza umbea kwamba Jingalao ni mlevi mara hivi mara vile!!
Wengi wa waliokutana wamebadili IDs.
Niliowahi kukutana nao wakiona michango yangu leo hiiwanaweza nivamia nyumbani!
Labda kuwe na mfumo wa kukutana bila kubreach IDs