Leo Tumepokea Kipigo Cha Pili

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Nashukuru kuwa leo tena kipigo. Watu waelewe mpira si uhamasishaji. Ni uwekezaji serious. Team ilipaswa ikae kambini ijiandae. Ilipaswa iendeshwa na wataalamu siyo wanasiasa.

Sasa na michezaji nayo imekaa kibwege bwege kama mitaahira. Chezaji limetoka kufungwa linamshukuru rahisi. Kama li below dog tu. Na wanasiasa wanajazana kutoa mawaidha kwa team badala ya kocha kufanya hivyo.

Haya mkahamasishe sasa na leo... Halafu on target ziwe zero. Kipa wa Morocco siku ile alikuwa very bored. Anasoma tu gazeti.
 
We jamaa mechi hata haijaanza umeshahitimisha kwamba tumepigwa duuuh!
 
Naunga mkono kwa sababu wanasiasa wanaibuka tu pale timu inapotaka kufanikiwa badala ya kuwekeza kwenye hizi football academy. Zambia tupo nyuma yenu msituangushe. Zambia daima mbele nyuma Staz
 
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Kwanini Tanzania hatuna namba 9 wa uhakika?
 


hiki kilikua cha ngap
 

 

Mi nilijua nyie mabwabwa hamufuatilii mpira
 
Mi nilijua nyie mabwabwa hamufuatilii mpira
Dogo toka nimekupa za chembe sasa una kibarua kizito cha kunifuatilia mumeo kila thread. Safi sana sisi wanaume wengine tunapiga mikito ya nguvu. Show show... Halafu asubuhi tunaondoka bila kukuachia kitu zaidi ya mimba. Sasa umejawa hasira tu kila ukinisoma... Utateseka sana mwaka huu. Ndo ujue wanaume wa Dar tulivyo hatutunzi uchafu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…