Leo tunatumaini Jaji atatoa uamuzi ambao utaondoa jakamoyo ya Mwabukusi na wenzake

Leo tunatumaini Jaji atatoa uamuzi ambao utaondoa jakamoyo ya Mwabukusi na wenzake

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Watu wamekuwa very hysterical kuhusu hili suala la Bandari: wanasema nchi itaangamia, nchi itakufa. Lakini leo Jaji anakwenda kuwaondoa watu wasiwasi.

Tuna imani na Samia. Twende na Samia katika hili. Rais huyu ana nia njema.

Binadamu anatakiwa kuwa na imani; na siyo kuogopa kila jani kavu linalopeperushwa na upepo.

Rais ndiye mwamuzi wa mwisho katika nchi yetu. Na juu ya kila kitu yupo Mungu.

Tukijadili mambo lazima tufikie maamuzi. Hatuwezi kunyoosha mikono na kusema tatizo limetushinda.

Tutazame pros and cons, tufanye maamuzi,tusikwame hapa,maisha yaendelee.

Tumtangulize Mungu mbele,alikuwa anatuambia Magufuli kila siku.
 
Kwa kuwa hili swala la bandari limevamiwa na wanasiasa pinga pinga ambao ndio wale wale waliokuwa wanapinga mazuri ya JPM naamini kabisa Mh Rais anania njema kabisa.
 
Ninamuona Jaji kama vile anasema eti leo anaumwa tumbo hivyo kesi iahirishwe (neno gumu kulitamka "ihairishwe"!
 
Kwa kuwa hili swala la bandari limevamiwa na wanasiasa pinga pinga ambao ndio wale wale waliokuwa wanapinga mazuri ya JPM naamini kabisa Mh Rais anania njema kabisa.
Tunamshukuru Mungu hatutekwi tena na
wasio julikana

Tunamshukuru Mungu matisho yamepungua kwamba tutapigwa mpaka na shangazi zetu

Tunamshukuru Mungu nchi nzima inapelekewa maendeleo nasi Chato pekee yake

Tunamshukuru Mungu Lissu yupo hai
Shukurani ni nyingi sana kwa Mwenyeenzi Mungu

Naamini hata mikataba inayoliumiza taifa letu haitafanikiwa na ikifanikiwa iwe kaburi la ccm
 
Watu wamekuwa very hysterical kuhusu hili swala la Bandari: wanasema nchi itaangamia,nchi itakufa. Lakini leo Jaji anakwenda kuwaondoa watu wasiwasi.
Tuna imani na Samia. Twende na Samia katika hili. Rais huyu ana nia njema.
Binadamu anatakiwa kuwa na imani; na siyo kuogopa kila jani kavu linalopeperushwa na upepo.
Rais ndiye mwamuzi wa mwisho katika nchi yetu. Na juu ya kila kitu yupo Mungu.
Tukijadili mambo lazima tufikie maamuzi. Hatuwezi kunyoosha mikono na kusema tatizo limetushinda. Tutazame pros and cons,tufanye maamuzi,tusikwame hapa,maisha yaendelee.
Tumtangulize Mungu mbele,alikuwa anatuambia Magufuli kila siku.
Nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria na siyo nia njema ya mtu!
 
Atatoa/Watatoa uamuzi kwa mujibu wa Sheria, sio kwa kwa mujibu wa jakamoyo la watu. Ndio tofauti ya Sheria na Siasa
 
Back
Top Bottom