genge la manyama unapafahamu[emoji2] Vituo vya huduma za afya Musoma MC
Kwangwa disp, rwamlimi disp, makoko disp siku hizi wameifanya health centre, bweri hc, buhare disp, nyamatare disp, iringo disp ambayo kwa sasa imefungwa sababu ya maji ya ziwani kuzidi, na nyasho hc government zote, faith based kama aict bweri hc, coptic hc, za jeshi magereza disp, makoko KJ disp na private hosp kama omega, CF hospital [emoji16] musoma nimezunguka sana
Sent from my AMN-LX9 using JamiiForums mobile app
lazima nirudi mkuu tena mwez wa 12
Hapana bado sipafaham mkuugenge la manyama unapafahamu
AMELALA, ANAWAGENI.... Kamyonge hiyo! huyo Mzee sijui alikuwa anaitwa nani!ukirudi nitarudi, nasikia kuna mtaa fulani pale Musoma kuna mzee aliweka mlangoni kwake kibao cha NIPO/SIPO ili kuwajulisha wageni wake
Rafiki yangu paroko wa Kiabakari huyu Mpolishi anaendeleaje?Kiabakali mkuu..sijui ww
😀😀😀Sijui mkuu...Rafiki yangu paroko wa Kiabakari huyu Mpolishi anaendeleaje?
Msalimie sana ukipita pale kanisa la watakatifu paulo na peter.😀😀😀Sijui mkuu...
Kazi zangu zimeisha huko mkuu....Msalimie sana ukipita pale kanisa la watakatifu paulo na peter.
hukuchukua kanamba mahali hapoKazi zangu zimeisha huko mkuu....
Mbona sikuelewi mkuu? Hey hebu nenda straight..unaboa..nimechukua namba wapi..ya Nani? Ana kipi haswa! Njoo na picha hii!hukuchukua kanamba mahali hapo
Panaitwa palmKuna bwalo la polisi, pembeni yake pia kuna Ukumbi ule sijui unaitwaje? mwisenge