Al maktoum
JF-Expert Member
- Nov 23, 2022
- 499
- 678
،Ndugu zangu kama itawapendeza leo tusalimiane kwa lugha za makabila yetu.
Mimi ni mnyiramba natoka kule singidani
Inye mbii kate.
unataka kusema alfu lela ulelaAlafaboro miaboro pragaboro gaboro kende
Turevedi, herehoa?Mrevedi Vaghothi na Valala,Vabwange na Vabora
Hata mimi nimeona hii kitu...Wapare ndio tunaongoza kwenye huu uzi ikimaanisha sisi ndio members wa jf wa ukweeeeli
Kukaya kunisalimika, kwali wakoNimwomi somo, uchidachi kukaya ko
Delagawiza eng'washi😂😂😂😂Ndugu zangu kama itawapendeza leo tusalimiane kwa lugha za makabila yetu.
Mimi ni mnyiramba natoka kule singidani
Inye mbii kate.
Iwe kuyowoya chichebha inne nakumba niyowoye chitumbuka Pela..Mlishani ba mwaiche na bamundala, ndio bwino.
Mwaluka bwanji?