Leo tutalala kwa amani Na utulivu watu kimyaa

Hapana Mkuu ila kama timu haitakuwemo kwenye tatu bora kitu ambacho sioni kutokea mashabiki korofi watafanya varangati la nguvu kuhakikisha babu wenger harudi Emirates.

Washabiki wa Arsenal wanalalamika mwishoni mwa ligi, preseason ikiianza mkashinda Emirates Cup mnasahau.
 
Hapana Mkuu hakuna anayetaka hayo makombe uchwara yasiyo na hadhi watu wanalalamika sana lakini wale Wamarekani wameweka mbele ngawira badala ya timu kufanya vizuri na kuwa tishio UK, Europe na Duniani kite.

Washabiki wa Arsenal wanalalamika mwishoni mwa ligi, preseason ikiianza mkashinda Emirates Cup mnasahau.
 
Hapana Mkuu hakuna anayetaka hayo makombe uchwara yasiyo na hadhi watu wanalalamika sana lakini wale Wamarekani wameweka mbele ngawira badala ya timu kufanya vizuri na kuwa tishio UK, Europe na Duniani kite.

Inabidi ifike mahali washabiki tuwe tunajitafakari piano, kwa sababu unakuta hatuangalii malengo ya wamiliki, unakuta sisi tunataka makombe wakati wao wanataka faida.

Na ikitokea faida inapatikana bila kusajili wala kuchukua makombe ndipo tunapopishana nao. Mfano Arsenal pamoja na kutochukua major cups Kwan kipindi kirefu bado wameendelea kutengeneza faida kitu kinachosababisha wamiliki waendelee kubana.
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…