Leo tutamjua Kocha Mpya wa Timu ya Taifa Stars

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Mkutano wa Waziri Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) na Waandishi wa Habari

Kumtambulisha Kocha Mpya wa Timu ya Taifa Stars

[emoji414] 07 Machi, 2023
[emoji792] 04:00 Asubuhi
 
Tungependa kufahamu kapewa malengo gani ya kufikia.
 
Huyu KOCHA Alipaswa AENDE Simba.

Stars hata aje Clop
Hata Aje Guadiola.
Stars HAIWEZI kufanya chochote.

Ina LAANA imelaaaniwa, imelaanika.
Kichwa Cha MWENDAWAZIMU.

WATANZANIA Hakuna tunachokijua.
Kila kitu ni UBABAISHAJI.
Hakuna Talanta, hakuna bidii, hakuna mafunzo, hakuna vipaji.

UONGOZI NDIO HOVYO KABISA.
HAKUNA TUNACHOJIVUNIA CHOCHOTE
 
Hiyo simba yako ina kipi cha ajabu? Zaidi mngemfundisha tu kuwa mshirikina.
 
labda saa nne usiku.
 
Hapo kwenye simba ndipo ulipo halibu.
 
Taifa stars ikiachana na wachezaji wa Kolokoloni wale ambao wamechoka sana tutafika mbali. Kuna timu za ligi kuu Zina mafundi WA mpira ila Taifa Stars imeng'ang'ania kina Manula tu!

Ukuta WA Yanga ni Bora zaidi kwasasa wameruhusu goli chache, weka Nondo, Job na Kibwana.

Kuna dogo mmoja fundi sana anacheza Ubelgiji Novatus hatakiwi kufanyiwa sub. Kila wakimtoa Huwa tunafungwa!

Kuna Farid hatakiwi kukaa nje, Ndemla wa moto sana namba 8, Kuna Feisal anatakiwa kucheza namba kumi. Kuna Kibu Denis mechi za timu ya Taifa anazipatia vizuri mabeki wa timu pinzani hawapandi, kipa anatakiwa Mshery Bado anasaka jina na ana uwezo mkubwa ni kijana sio Manula wanamtungua za mbali tu haruki! Mzamiru kazi kurudisha mipira Nyuma badala ya kushambulia weka nje ingiza Mudathir anagawa upendo tu, Kapombe na Tshabalala weka nje!wamechoka sana Huwa hawapigi krosi wanazopiga Simba! Wanapigwa matobo tu na Kufundisha tu, Boko kachoka tupa kule weka vijana kina Anuary na Iddi Nado machachari sana!
Wapi Msuva na Samatta timu imekamilika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…