Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Hii itakuwa ni historia. Tena bila taarifa kutoka TANESCO.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasome Ilani ukurasa wa 23-301Hii itakuwa ni historia. Tena bila taarifa kutoka TANESCO.
Tulieni dawa iingie mlimtukana mno baba yangu, mungu kamchukuaHii itakuwa ni historia. Tena bila taarifa kutoka TANESCO.
Tulieni dawa iingie mlimtukana mno baba yangu, mungu kamchukua View attachment 2755012
Zamu yako itafikaMbona wilaya ya temeke umeme upo. Siku nzima haujakatika
kwa hyo kama upo temeke ndo watu wanyamazeMbona wilaya ya temeke umeme upo. Siku nzima haujakatika
UsiwakumbusheMbona wilaya ya temeke umeme upo. Siku nzima haujakatika
kwa hyo kama upo temeke ndo watu wanyamaze
Mungu ni mwema siku zote!!Tulieni dawa iingie mlimtukana mno baba yangu, mungu kamchukua View attachment 2755012
hapo temeke umeme huwa haukatiki...?brooAbadilishe kichwa cha habari.. kusema masaa 24 hakuna umeme Dar es salaam sio sahihi.
Maana temeke ni Dar es salaam na umeme upo
Niliona sehemu ratiba ya upungufu wa umeme nimecheka sanaTulieni dawa iingie mlimtukana mno baba yangu, mungu kamchukua View attachment 2755012
Wapi huko Dar mpo gizani mpk karne hii?Hii itakuwa ni historia. Tena bila taarifa kutoka TANESCO.
hapo temeke umeme huwa haukatiki...?broo