Leo tuwaachie wanawake

Leo tuwaachie wanawake

falcon mombasa

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2015
Posts
9,189
Reaction score
9,299
Kwa kuwa leo ni siku ya wanawake na sehemu nyingi hasa kwenye Radio na TV station wamewaachia kuendesha wanawake kwayo wanaume wenzangu humu mnaonaje nasi humu leo tuwaachie wanawake ndo wachart peke yao mpaka usiku saa 5:59 sisi tusome comment zao tu? Nawakilisha hoja @mods
 
Utajuaje kama ni wanawake maana wengi wanatumia id na avatar ambazo hazionyeshi jinsia
 
Back
Top Bottom