Nalewajee na umenichinjiaa mbalii, jana nilikuambiajeee??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hili la maana sana
Nasubiriii hapa uduguuu.Afu leo nimetoa pesa, zimeingia pesa yaani mimi naponda raha tyuuu sio shida zangu kabisaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nitakutumia 20 ya vocha udugu wangu sawa?!!
Nasubiriii hapa uduguuu.
Sekela, Ulinyega, Tukunjoba, Ulimboka, Ahobokile, Ipyana.Dondosha jina la kinyakyusa unalolifahamu.
Naanza Gwakisa, endelea
🤣🤣Kumbe?Nilikasahau kampenzi kangu utotoni haka😊
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja nitafute mzungu wa kueleweka, hilo jina la mke wa mzungu liko bomba sana
MwaipopoMwakyusa
Mwambene
Mwakalukwa
Mwakaleli
Mwambegele
Mwanjisi
Mwangota
Mwakipesile
Mwakibete
Mwandosya
Mwakasege
Mheshimiwa!!!