johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mjadala wa ofisi ya Rais Tamisemi unakwenda vizuri ile mambo ya kusifia sifia kutoa pongezi na pole haipo leo.
Mbunge wa kwanza kuchangia Anna Kilango ametaka majimbo yote yaangaliwe kiusawa kwenye swala la fedha za maendeleo badala ya fedha kupelekwa jimbo moja tu kwa upendeleo.
Amesema wilaya ya Same ina eneo la 40% ya mkoa wa Kilimanjaro lakini ndio inapata fedha kidogo kuliko wilaya zote.
Ramadhan Kareem!
Mbunge wa kwanza kuchangia Anna Kilango ametaka majimbo yote yaangaliwe kiusawa kwenye swala la fedha za maendeleo badala ya fedha kupelekwa jimbo moja tu kwa upendeleo.
Amesema wilaya ya Same ina eneo la 40% ya mkoa wa Kilimanjaro lakini ndio inapata fedha kidogo kuliko wilaya zote.
Ramadhan Kareem!