Leo Watanzania tunaandika historia

Leo Watanzania tunaandika historia

KJ07

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2021
Posts
2,370
Reaction score
5,381
Salaam wakuu,

BIla Shaka Leo ndio Ile siku ambayo YANGA inaenda kuandika HISTORIA kubwa katika nchi hii Kwa kufuzu hatua ya nusu fainali ya KOMBE LA SHIRIKISHO na waTanzania Leo tunaenda kuwa sehemu ya HISTORIA hii.

Najua kuna watu wanaumia Kwa mafanikio ambayo YANGA inaenda kuyapata Leo hii na niwaibie Siri Tu huu ni mwanzo wa mambo mazuri kutoka YANGA na mwaka huu KOMBE LA SHIRIKISHO tunaenda kulileta Tanzania na ninajua kuna watu wanaumia Kwa kuona YANGA inaenda kuandika HISTORIA kubwa kuliko wao ila ninachopenda kuwashauri ni kujifungia chooni na kulia kisirisiri wakati wananchi tukishangilia kuingia hatua ya nusu fainali.


I LOVE U YANGA 💛💚💛💚💛💚
 
Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Leo simba watapiga POLIMILAI nyingi sana nawaombea yanga wakawakilishe nchi vyema kesho niendelee kucheka vijembe watakavyotupiana watani
 
Kaamua kukaza fuvu mkuu Achana nae huyo asikupe tabu Leo ni sherehe yetu Wananchi na kesho tunaamka SAA Saba maana pia ni holidei.
Badilisha font ya mwandiko,wazee hatuoni
 
Mnaenda kuweka historia kwa kuingia nusu fainali ya nini shirikisho au klabu bingwa!!
 
Ninachojivunia kigezo cha kujiunga na kesho la Tanzania ni Elimu ya darasa la saba na huku hayo mambo yenu ya miandiko hatuizingatii Sana.
usinitoe kwenye focus kama wewe ni dunduka Leo utalilia chooni.
Manara aliposema kuwa hamna akili ni sahihi kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


HUNA AKILI, KAA CHINI
 
Back
Top Bottom