Leo weekend halafu sina hela nimechanganyikiwa

Leo weekend halafu sina hela nimechanganyikiwa

Oya hii mbuzi Ina Nini leo?mbna inapost utumbo kila nusu saa!?hasira za mwanza usizihamishie humu...kaposti fesibuku ulikozoea
 
Oya hii mbuzi Ina Nini leo?mbna inapost utumbo kila nusu saa!?hasira za mwanza usizihamishie humu...kaposti fesibuku ulikozoea
kuna watu jf siku hizi wa ovyo kweli..
sijui fesibuku hakuna jipya huko
 
Ukicheki yanga kashinda na kuna fainali leo halafu ni weekend mfukoni sina kitu dah nimechanganyikiwa
 
b29b6ce204c7a71ed2b3df1658fcbf09cf4019a5.jpg

Usijicheleweshe
 

Attachments

  • b29b6ce204c7a71ed2b3df1658fcbf09cf4019a5.jpg
    b29b6ce204c7a71ed2b3df1658fcbf09cf4019a5.jpg
    8.4 KB · Views: 13
Vuta bangi zako mbili za buku nne kisha vunga, Ganja ni happiness
 
Kasirikia umasikini wako,,, amka ukafanye kazi..

Acha kuwaza utajiri kwa hela ya kuokota...
 
Back
Top Bottom