Sijamjibu na simjibu.. Mnyazi hapendi hz mamboHuwezi kufa ila cha moto utakiona!
Mjibu acha kumbania kiumbe dhaifu mnyaz hapAaaah !
Kwahiyo mtu akikutumia msg inbobo "Me mjane " ndio tayari kakupiga sound [emoji2960][emoji2960][emoji23][emoji23]
Nilikuwa natest uzi skuwa na Nia mbaya[emoji38][emoji38][emoji38]kukupiemu ndo imekua shida umekuja kunisema huku
Ngoja bas nikafute tongozo langu maana ushaharibuNilikuwa natest uzi skuwa na Nia mbaya
😁😁😁 Vocals errorNgoja bas nikafute tongozo langu maana ushaharibu
😂😂 Wale zuga ili tujitoe sadaka kwa kisingizio God anakupa bebe 72 ... Kule kiberiti tuu😂😂Endelea sasa kusubiri 72 wa mnyazi!
Kaka inbox zetu Ni ❤️ zimejaa huku tunaviziana kimachingaUmechezea shilingi chooni na alivyo pisi!