Nakupenda mno shemeji.... achana na ccsta njoo kwangu ntayalinda mahusiano yetu ntayapigania yasivunjwe na yyte yule......pia kesho amia nyumbani kwangu ntajitahid niwe mwanamke mzuri nkutunze upendezeLovelovie naomba unitongoze niskie swagga zko!
Ushamba wangu huu!! Sikuwahi kudhania kama wewe ni mwanamke!!Nakupenda mno shemeji.... achana na ccsta njoo kwangu ntayalinda mahusiano yetu ntayapigania yasivunjwe na yyte yule......pia kesho amia nyumbani kwangu ntajitahid niwe mwanamke mzuri nkutunze upendeze
Mtongozo wake kama ataweza panga verse kama alivyopangalia simulizi la kuliwa masikhara, nakwambia mzeya huchomoi π€£π€£π€£π€£Kelsea nakusubiri huku unipige tongozo/sound huku nashikashika majani na kukata vijiti.
Mim ni mwanamke πUshamba wangu huu!! Sikuwahi kudhania kama wewe ni mwanamke!!
Nyie mbwa hamnitongozi
SawA nakutumia usijali unataka bei gani....Nasogea mdogo mdogo na ulivyo hot π₯ mtoto chocolate π« π₯°π tuma nauli basi nije usisahau na yakutolea!
Usijali kabisa ukija huku itabid uwe unaosha vyombo, unafua na kupiga deki ndani hili kufidishia nauli..... uje na vumbi la kongoKutoka hapa sinza mpaka huko ulipo shs 100,000/= inatosha usisahau kunilipia na tozo! ππ₯°π€