Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

Nakupenda mno shemeji.... achana na ccsta njoo kwangu ntayalinda mahusiano yetu ntayapigania yasivunjwe na yyte yule......pia kesho amia nyumbani kwangu ntajitahid niwe mwanamke mzuri nkutunze upendeze
Ushamba wangu huu!! Sikuwahi kudhania kama wewe ni mwanamke!!
 
Kelsea nakusubiri huku unipige tongozo/sound huku nashikashika majani na kukata vijiti.
Mtongozo wake kama ataweza panga verse kama alivyopangalia simulizi la kuliwa masikhara, nakwambia mzeya huchomoi 🀣🀣🀣🀣
 
Nakupenda mno shemeji.... achana na ccsta njoo kwangu ntayalinda mahusiano yetu ntayapigania yasivunjwe na yyte yule......pia kesho amia nyumbani kwangu ntajitahid niwe mwanamke mzuri nkutunze upendeze
Mmh huu mtongozo wenyewe na nilivo mwepesi soon najileta kwako Lovelovie
 
Haya ndo usogee mdogo mdogo.... tufanye mambo
Nasogea mdogo mdogo na ulivyo hot πŸ”₯ mtoto chocolate 🍫 πŸ₯°πŸ˜ tuma nauli basi nije usisahau na yakutolea!
 
Saint Ivuga babe unajua vile nadata na ww huo urefu wako ndo usiseme me hoi,,badae tukutane live band pale pale pa sikuzote
I love you to the moon and back[emoji3590][emoji3590]
 
Nasogea mdogo mdogo na ulivyo hot πŸ”₯ mtoto chocolate 🍫 πŸ₯°πŸ˜ tuma nauli basi nije usisahau na yakutolea!
SawA nakutumia usijali unataka bei gani....
 
Kutoka hapa sinza mpaka huko ulipo shs 100,000/= inatosha usisahau kunilipia na tozo! 😍πŸ₯°πŸ€—
Usijali kabisa ukija huku itabid uwe unaosha vyombo, unafua na kupiga deki ndani hili kufidishia nauli..... uje na vumbi la kongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…