Pre GE2025 Leonce Marko Kada wa CHADEMA atimkia CCM

Pre GE2025 Leonce Marko Kada wa CHADEMA atimkia CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Naona besti wa Msigwa kaamua amfuate CCM.

Je, fukuto la CHADEMA litatoa kiongozi mwingine kwenda CCM?

Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

=====

IMG_20241120_205951_183.jpg

Leonce Marko kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( lChadema) amejiunga na Chama cha Mapinduzi CCM.

Marto amejizolea umaarufu ndani ya chadema kabla ya kutimkia CCM na ameshikiria nyadhifa mbalimbali.

Nafasi alizowahi kushikiria Leonce Matto - Mjumbe wa sekretarieti ya kanda ya Nyasa, Katibu Mwenezi kanda wa Nyasa (ambao ulikoma baada ya Sugu kuingia madarakani May 29, 2024), Mjumbe wa Mkutano Mkuu Jimbo la Iringa Mjini, Mgombea Udiwani kata ya Nduli 2020, alikuwa Advance Team ya Taifa ya mgombea Urais 2015.
 
Ndiyo nani huyu mjinga anayetafuta kiki kwa kujinasibisha na chadema?

Kila mpumbavu akitaka kutafuta kiki basi anatumia jina la chadema ili kupandisha gauge. Mxiuuuuu!!
 
Leonce Marko kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( lChadema) amejiunga na Chama cha Mapinduzi CCM.

Marto amejizolea umaarufu ndani ya chadema kabla ya kutimkia CCM na ameshikiria nyadhifa mbalimbali.

Nafasi alizowahi kushikiria Leonce Matto - Mjumbe wa sekretarieti ya kanda ya Nyasa, Katibu Mwenezi kanda ha Nyasa, Mjumbe wa Mkutano Mkuu Jimbo la Iringa Mjini, Mgombea Udiwani kata ya Nduli 2020, alikuwa Advance Team ya Taifa ya mgombea Urais 2015.
Mimi ndio namsikia leo. Nafatilia siasa za chadema mwaka wa 20 sasa jina hilo sijalisikia. Hebu tupe umaarufu wake. Kawa mbunge? Diwani? Au mpiga debe tu?
 
Ndiyo nani huyu mjinga anayeyafuta kiki kwa kujinasibisha na chadema?

Kila mpumbavu akitaka kutafuta kiki basi anatumia jina la chadema ili kupandisha gauge. Mxiuuuuu!!
Mwamba vipi mbona kama unahasira hivi
 
Wakuu,

Naona besti wa Msigwa kaamua amfuate CCM.

Je, fukuto la CHADEMA litatoa kiongozi mwingine kwenda CCM?

=====


Leonce Marko kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( lChadema) amejiunga na Chama cha Mapinduzi CCM.

Marto amejizolea umaarufu ndani ya chadema kabla ya kutimkia CCM na ameshikiria nyadhifa mbalimbali.

Nafasi alizowahi kushikiria Leonce Matto - Mjumbe wa sekretarieti ya kanda ya Nyasa, Katibu Mwenezi kanda ha Nyasa, Mjumbe wa Mkutano Mkuu Jimbo la Iringa Mjini, Mgombea Udiwani kata ya Nduli 2020, alikuwa Advance Team ya Taifa ya mgombea Urais 2015.
Safari njema..baada ya figisu zote na kila aina ya ushetani wamefanikiwa huyu tuu? SIAMINI KABISA😂
 
Wakuu,

Naona besti wa Msigwa kaamua amfuate CCM.

Je, fukuto la CHADEMA litatoa kiongozi mwingine kwenda CCM?

=====


Leonce Marko kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( lChadema) amejiunga na Chama cha Mapinduzi CCM.

Marto amejizolea umaarufu ndani ya chadema kabla ya kutimkia CCM na ameshikiria nyadhifa mbalimbali.

Nafasi alizowahi kushikiria Leonce Matto - Mjumbe wa sekretarieti ya kanda ya Nyasa, Katibu Mwenezi kanda ha Nyasa, Mjumbe wa Mkutano Mkuu Jimbo la Iringa Mjini, Mgombea Udiwani kata ya Nduli 2020, alikuwa Advance Team ya Taifa ya mgombea Urais 2015.
Ni nani huyu.
 
Mimi ndio namsikia leo. Nafatilia siasa za chadema mwaka wa 20 sasa jina hilo sijalisikia. Hebu tupe umaarufu wake. Kawa mbunge? Diwani? Au mpiga debe tu?
Mkuu mbona kama makasiriko hivi? 😃😃
 
Mimi ndio namsikia leo. Nafatilia siasa za chadema mwaka wa 20 sasa jina hilo sijalisikia. Hebu tupe umaarufu wake. Kawa mbunge? Diwani? Au mpiga debe tu?
Mchadema maarufu kwa Iringa.
 
Wakuu,

Naona besti wa Msigwa kaamua amfuate CCM.

Je, fukuto la CHADEMA litatoa kiongozi mwingine kwenda CCM?

=====


Leonce Marko kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( lChadema) amejiunga na Chama cha Mapinduzi CCM.

Marto amejizolea umaarufu ndani ya chadema kabla ya kutimkia CCM na ameshikiria nyadhifa mbalimbali.

Nafasi alizowahi kushikiria Leonce Matto - Mjumbe wa sekretarieti ya kanda ya Nyasa, Katibu Mwenezi kanda wa Nyasa (ambao ulikoma baada ya Sugu kuingia madarakani May 29, 2024), Mjumbe wa Mkutano Mkuu Jimbo la Iringa Mjini, Mgombea Udiwani kata ya Nduli 2020, alikuwa Advance Team ya Taifa ya mgombea Urais 2015.
Mwanasiasa Malaya Malaya
 
Mwanasiasa Malaya Malaya
Mkuu hakuna haja ya kutukana watu kisa tu wameamua kutumia haki na uhuru wao wa kidemokrasia wapendavyo.

Ndani ya demokrasia ya vyama vingi, chama cha siasa hakiwezi kuepuka uhamaji wa wanachama wake.

Cha msingi kifocus kwenye sera, ilani na katiba yake.

Nikukumbushe kuwa kwenye siasa hakuna urafiki au uadui wa kudumu isipokuwa maslahi ya kudumu.
 
Wakuu,

Naona besti wa Msigwa kaamua amfuate CCM.

Je, fukuto la CHADEMA litatoa kiongozi mwingine kwenda CCM?

=====


Leonce Marko kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( lChadema) amejiunga na Chama cha Mapinduzi CCM.

Marto amejizolea umaarufu ndani ya chadema kabla ya kutimkia CCM na ameshikiria nyadhifa mbalimbali.

Nafasi alizowahi kushikiria Leonce Matto - Mjumbe wa sekretarieti ya kanda ya Nyasa, Katibu Mwenezi kanda wa Nyasa (ambao ulikoma baada ya Sugu kuingia madarakani May 29, 2024), Mjumbe wa Mkutano Mkuu Jimbo la Iringa Mjini, Mgombea Udiwani kata ya Nduli 2020, alikuwa Advance Team ya Taifa ya mgombea Urais 2015.
Kaondoka Gaucho Minjino ,Kaondoka Zitto ,Kaondoka kafulila ,koandoka machali ,kaondoka Dr Slaa ,Koandoka Mashinji ,Koandoka Prof Paregu ,Kaondoka Lijualibutu,kaondoka silinde ,kaondoka mchungaji feki Msigwa ... ,kaondokaa ... kaondoka.....,kaondoka ....lakini Chama bado kipo imara.
 
Kaondoka Gaucho Minjino ,Kaondoka Zitto ,Kaondoka kafulila ,koandoka machali ,kaondoka Dr Slaa ,Koandoka Mashinji ,Koandoka Prof Paregu ,Kaondoka Lijualibutu,kaondoka silinde ,kaondoka mchungaji feki Msigwa ... ,kaondokaa ... kaondoka.....,kaondoka ....lakini Chama bado kipo imara.
Kafulila Toka lini akawa Chadema?? NCCR yule
 
Kaondoka Gaucho Minjino ,Kaondoka Zitto ,Kaondoka kafulila ,koandoka machali ,kaondoka Dr Slaa ,Koandoka Mashinji ,Koandoka Prof Paregu ,Kaondoka Lijualibutu,kaondoka silinde ,kaondoka mchungaji feki Msigwa ... ,kaondokaa ... kaondoka.....,kaondoka ....lakini Chama bado kipo imara.
HPn chama kimeshayumba
 
Wakuu,

Naona besti wa Msigwa kaamua amfuate CCM.

Je, fukuto la CHADEMA litatoa kiongozi mwingine kwenda CCM?

=====


Leonce Marko kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( lChadema) amejiunga na Chama cha Mapinduzi CCM.

Marto amejizolea umaarufu ndani ya chadema kabla ya kutimkia CCM na ameshikiria nyadhifa mbalimbali.

Nafasi alizowahi kushikiria Leonce Matto - Mjumbe wa sekretarieti ya kanda ya Nyasa, Katibu Mwenezi kanda wa Nyasa (ambao ulikoma baada ya Sugu kuingia madarakani May 29, 2024), Mjumbe wa Mkutano Mkuu Jimbo la Iringa Mjini, Mgombea Udiwani kata ya Nduli 2020, alikuwa Advance Team ya Taifa ya mgombea Urais 2015.
Kila la kheri kada,ila isiwe tu wanakusemea.
 
Mkuu hakuna haja ya kutukana watu kisa tu wameamua kutumia haki na uhuru wao wa kidemokrasia wapendavyo.

Ndani ya demokrasia ya vyama vingi, chama cha siasa hakiwezi kuepuka uhamaji wa wanachama wake.

Cha msingi kifocus kwenye sera, ilani na katiba yake.

Nikukumbushe kuwa kwenye siasa hakuna urafiki au uadui wa kudumu isipokuwa maslahi ya kudumu.
Huo ni Msemo wa Nyerere Julius kambarage!!

Kuhusu wanasiasa
 
Back
Top Bottom