Leonidas and the battle of thermopylae (hot gates)

shukrani mkuu

/Akifa shekhe kazi ya Mungu/
/Akifa mlevi sababu ya Pombe/
 
Il mentore Ezio Auditore. Master Assasin

mkuu kumbe unazifahamu Assassin's Creed , napenda sana game zake na storyline hasa assassin's creed ya kwanza, ile ya pili (brotherhood) na ile ya tatu ya conor.
best quote ni "we live / work in the dark to save the light "
movie yake walizingua kwa mimi... wangemchukua Orlando Bloom (lagolas) au Jeremy rener ( hawk eye) au Donnie Yen.
 
Hongera kwa uzi nzuri, wengekuwa wengine utasikia "ITAENDELEA" mpaka kero

Kabisa, wangesema wanaenda kunywa soda au kula sembe. Haaaaaa haaaaaa teeeeh teeeh
 
Yeah. Nikipata muda ntakupa details zote vizuri.


Mkuu, ongezea hii kwa nini walioana dada/kaka wakati wa kwanza tena watoto nao wakarudia kuoana hivyo tena !?
Japo , mara ya kwanza ilileta mgogoro tena wakarudia vijana wao!

Pia, naona nchi ilikuwa na watu wa kuoa nje ya familia zao!! Sasa kwa nini walikuwa hivyo oa Dada au kaka na Dada!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…