kwakuwa unawaamini waliosoma we coment tuAhsanteeee mkuu kwa kastori katamu japo sijakasoma
Ila hilo jina leonida limenikumbusha Manzi wangu wa Mwanza aisee..
Il mentore Ezio Auditore. Master Assasin
Hongera kwa uzi nzuri, wengekuwa wengine utasikia "ITAENDELEA" mpaka kero
Yeah. Nikipata muda ntakupa details zote vizuri.