Uchaguzi 2020 Leopold Mahona na Ally Hamis wateuliwa na NEC kuwania nafasi ya Urais na Makamu wa Rais kwa tiketi ya NRA

Uchaguzi 2020 Leopold Mahona na Ally Hamis wateuliwa na NEC kuwania nafasi ya Urais na Makamu wa Rais kwa tiketi ya NRA

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Mwenyekiti wa NEC Jaji Mstaafu Semistolces Kaijage kwa mamlaka aliyopewa, amemteua Leopold Mahona kuwa mgombea wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ally Hamis kuwa mgombea wa Kiti cha Makamu wa Rais kupitia tiketi ya Chama cha National Reconstruction Alliance (NRA)
 
Uchaguzi Tanzania ni kuhusu Lissu na Chadema kama hawa hawapo uchaguzi nao hautakuwepo.
 
Hahaha vyama vingine ni vya kiharamia, (NRA) National Rifle Associations.

Vyama vya kigaidi hivi, kaijage aangalie upya.
 
Back
Top Bottom