Wenge Music BCBG 4X4!..
Hadi kesho hivi vichwa ninaamini ndy vilikuwa funga kazi,wasingesambaratika hawa jamaa mziki wao usingeshikika hata
zaidi ya 1000 yrs.
Samahani les wanyika siwafahamu sana japo hilo jina huwa nalisikia tu!...
Na weza sema hakuna bendi iliyoweza charaza muziki ya nguvu kama hii kwa ukanda wa East Africa,nyimbo zake hazi chuji kamwe,naweza sema ni bend yenye mafanikio makubwa kwa kipindi chake chote.
Ili anzishwa 1971 na ilingara zaidi na kutambulika 1978 ..
Ni bendi ilio anzishwa na wa mchanganyika wa wa Tanzania George kinyonga na Wille baadae waka
Hapa Mareshare Mukulu Suvelee Premier Jeam Bedel Mpiana, pale kuna ngiama makanda...
Kisha kuna akina Roberto Ekokota, Allan Makaba, Adolph Dominguez, Didier Masela, Afande Allan Mpela, Emilia Kusangila, tutu Kaludji, Burkinabe Burkinafasoo, blaisse Bulla na nguli wengine...
Nakumbuka kikosi hicho Fally Ipupa alienda kuomba namba kisha akaambiwa chagua mtu wa kutolewa kisha wewe upewe nafasi, Dah alikosa ikabidi akung'ute wowowo kisha aende kwa Koffi...
Kiboko yao ni Daniel Toroitich Arap Moi...
Taarifa ya habari KBC na leornald mambo mbotela, utasikia MTUKUFU RAIS DANIEL TOROITICH ARAP MOI
Wenge BCBG 4x4 haiwezi kukamilika bila kutambuwa uwepo wa Mfadhili wao mkuu, Jose Kongolo Mibeto FBI ( Saddam Hussein ) son of Mabutu Seseseko wa Kuku wa Zabanga.Hapa Mareshare Mukulu Suvelee Premier Jeam Bedel Mpiana, pale kuna ngiama makanda...
Kisha kuna akina Roberto Ekokota, Allan Makaba, Adolph Dominguez, Didier Masela, Afande Allan Mpela, Emilia Kusangila, tutu Kaludji, Burkinabe Burkinafasoo, blaisse Bulla na nguli wengine...
Nakumbuka kikosi hicho Fally Ipupa alienda kuomba namba kisha akaambiwa chagua mtu wa kutolewa kisha wewe upewe nafasi, Dah alikosa ikabidi akung'ute wowowo kisha aende kwa Koffi...
Wenge BCBG 4x4 haiwezi kukamilika bila kutambuwa uwepo wa Mfadhili wao mkuu, Jose Kongolo Mibeto FBI ( Saddam Hussein ) son of Mabutu Seseseko wa Kuku wa Zabanga.
Hapa Mareshare Mukulu Suvelee Premier Jeam Bedel Mpiana, pale kuna ngiama makanda...
Kisha kuna akina Roberto Ekokota, Allan Makaba, Adolph Dominguez, Didier Masela, Afande Allan Mpela, Emilia Kusangila, tutu Kaludji, Burkinabe Burkinafasoo, blaisse Bulla na nguli wengine...
Nakumbuka kikosi hicho Fally Ipupa alienda kuomba namba kisha akaambiwa chagua mtu wa kutolewa kisha wewe upewe nafasi, Dah alikosa ikabidi akung'ute wowowo kisha aende kwa Koffi...