AMAFUMU JF-Expert Member Joined Oct 12, 2011 Posts 221 Reaction score 113 Sep 2, 2013 #1 natafuta leseni ya gari jamani nani anauwezo wa kunipatia ndani ya siku moja na kwa shilingi ngapi vile niwe nayo?
natafuta leseni ya gari jamani nani anauwezo wa kunipatia ndani ya siku moja na kwa shilingi ngapi vile niwe nayo?
akenajo JF-Expert Member Joined Oct 21, 2012 Posts 1,634 Reaction score 613 Sep 2, 2013 #2 ndani ya siku moja haiwezekani ,kuanzia siku 3,nenda kafanyiwe majaribio pale oysterbay police,then myfair tra,unalipia bank 40elfu tu
ndani ya siku moja haiwezekani ,kuanzia siku 3,nenda kafanyiwe majaribio pale oysterbay police,then myfair tra,unalipia bank 40elfu tu
hekimatele JF-Expert Member Joined May 31, 2011 Posts 9,890 Reaction score 2,795 Sep 2, 2013 #3 ukitaka in two days yaani leo unapiga picha kesho unachukua leseni yako.
Power G JF-Expert Member Joined Apr 20, 2011 Posts 3,884 Reaction score 1,198 Sep 2, 2013 #4 "Leseni ya gari" una maana gani? Road license ya gari au leseni yako wewe ya kuendeshea gari?. Kama ni road license nenda tra na ile iliyokwisha na utapata mpya siku hiyo hiyo. Kama ni leseni yako ya kuendeshea gari nenda ukafanyiwe test trafic.
"Leseni ya gari" una maana gani? Road license ya gari au leseni yako wewe ya kuendeshea gari?. Kama ni road license nenda tra na ile iliyokwisha na utapata mpya siku hiyo hiyo. Kama ni leseni yako ya kuendeshea gari nenda ukafanyiwe test trafic.