encyclopaedia Tanzaree
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 515
- 405
Habari wakuu, kutokana na hali ya biashara kuwa ngumu imetulazimu baadhi ya wafanyabiashara kufanya biashara zaidi ya moja kwenye jengo moja ili kuongeza kipato na kupunguza gharama za uendeshaji.
Jambo hili linatuweka matatani baadhi yetu kwa kugombana sana na watu wa leseni wakidai kwamba kila biashara inapaswa kuwa na leseni yake.
Mfano una duka la nguo kama major business ukaamua kuongeza uwakala wa mitandao ya simu kama minor business, watu wa leseni wakipita ukawa onyesha leseni ya duka la nguo bado watakudai leseni ya Mobile Money. Hii imekaaje ukizingatia tunapoomba uwakala tunaambiwa tutumie leseni ya biashara yoyote?
Upande wa uwakala wa benki wanasema ili wakupe uwakala basi huo uwakala usiwe ndio biashara yako kuu.
Hawa watu wa leseni wapo sahihi kudai leseni mbili ndani ya fremu moja hata kama hujaweka partitions?
Nawasilisha.
Jambo hili linatuweka matatani baadhi yetu kwa kugombana sana na watu wa leseni wakidai kwamba kila biashara inapaswa kuwa na leseni yake.
Mfano una duka la nguo kama major business ukaamua kuongeza uwakala wa mitandao ya simu kama minor business, watu wa leseni wakipita ukawa onyesha leseni ya duka la nguo bado watakudai leseni ya Mobile Money. Hii imekaaje ukizingatia tunapoomba uwakala tunaambiwa tutumie leseni ya biashara yoyote?
Upande wa uwakala wa benki wanasema ili wakupe uwakala basi huo uwakala usiwe ndio biashara yako kuu.
Hawa watu wa leseni wapo sahihi kudai leseni mbili ndani ya fremu moja hata kama hujaweka partitions?
Nawasilisha.