J JF2050 JF-Expert Member Joined Sep 25, 2010 Posts 2,085 Reaction score 44 Mar 23, 2012 #1 Habari zenu wakuu, Naomba anayeelewa utaratibu wa namna ya kuomba leseni ya kuanzisha centre ya kutoa elimu ya juu anipe dondoo. Je inaombwa kwa nani/wizara ipi? Ahsanteni.
Habari zenu wakuu, Naomba anayeelewa utaratibu wa namna ya kuomba leseni ya kuanzisha centre ya kutoa elimu ya juu anipe dondoo. Je inaombwa kwa nani/wizara ipi? Ahsanteni.
Gurta JF-Expert Member Joined Sep 17, 2010 Posts 2,233 Reaction score 532 Mar 23, 2012 #2 Elimu ya juu unayozungumzia hapa ni ipi? University au college. Na ni katika fani ipi? k.m. kama ni ufundi na fani kama hizi basi NACTE wanakuhusu. Fanya swali kuwa specific kidogo.
Elimu ya juu unayozungumzia hapa ni ipi? University au college. Na ni katika fani ipi? k.m. kama ni ufundi na fani kama hizi basi NACTE wanakuhusu. Fanya swali kuwa specific kidogo.
J JF2050 JF-Expert Member Joined Sep 25, 2010 Posts 2,085 Reaction score 44 Mar 24, 2012 Thread starter #3 Gurta said: Elimu ya juu unayozungumzia hapa ni ipi? University au college. Na ni katika fani ipi? k.m. kama ni ufundi na fani kama hizi basi NACTE wanakuhusu. Fanya swali kuwa specific kidogo. Click to expand... Ahsante. Ni kwa level ya university, kama vile Udsm, Tumaini univ. etc.,
Gurta said: Elimu ya juu unayozungumzia hapa ni ipi? University au college. Na ni katika fani ipi? k.m. kama ni ufundi na fani kama hizi basi NACTE wanakuhusu. Fanya swali kuwa specific kidogo. Click to expand... Ahsante. Ni kwa level ya university, kama vile Udsm, Tumaini univ. etc.,