Leseni ya Magufuli kwa wafanyabiashara wadogo

Eliya Mkama

Member
Joined
Aug 12, 2019
Posts
6
Reaction score
1
Naomba kujua ni kwa namna gani naweza kupata kibali cha biashara cha magufuli kwa maana mm ni natarajia kuwa na biashara ya juice
 
Leseni ya Magufuli watu hawaijui na haipo.

Lkn ungesema kitambulisho cha wamachinga hapo waungwana wanaweza kukusaidia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…