Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Msimamizi wa Video Assistant Referee (VAR), Nchini Tanzania, Leslei Liundi akizungumzia kuwepo kwa Teknolojia ya VAR kabla ya mchezo wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika CAFCC kati ya Simba SC dhidi ya Orlando Pirates kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, alitoa ufafanuzi matumizi ya mitambo hiyo kuwa VAR ipo kwa ajili ya kumsaidia refa kinyume na watu wanafikiria kuwa inatoa maamuzi uwanjani.
"VAR ipo kwa ajili ya kumsaidia Refaree na siyo inayofanya maamuzi, maamuzi yanafanywa na Referee, kwahivyo VAR ipo kwa ajili ya kumsaidia Refaree kuona tukio ambao either hakuliona vizuri au alivyoliona sivyo uhalisia wake jinsi ambavyo lilivyo
Kwahivyo wale walioko ndani wanamuita Referee, kwenye ( Video Riview Refaree) na Referee anakwenda anangalia either anajitosheleza kama maamuzi aliyekuwa ameamua mara mwanzo aendelee kubakia nayo au anayabadilisha, na si kwa mambo yote yanayotokea kiwanjani lakini kuna baadhi ya mambo Referee anahusika nayo kuzungumza na watu wa VAR".
NB: Kwahivyo wale wenye mashaka na maamuzi ya refa na kupumua kwa shida na kuteseka moyoni kwamba kwanini refa hakwenda kwenye mtambo wa Video Riview Refaree hili hapa somo kutoka kwa msimamizi na mtaalamu mbobezi wa VAR Leslei Liundi.
Kulipewa Mwana Kulitaka Mwana.
"VAR ipo kwa ajili ya kumsaidia Refaree na siyo inayofanya maamuzi, maamuzi yanafanywa na Referee, kwahivyo VAR ipo kwa ajili ya kumsaidia Refaree kuona tukio ambao either hakuliona vizuri au alivyoliona sivyo uhalisia wake jinsi ambavyo lilivyo
Kwahivyo wale walioko ndani wanamuita Referee, kwenye ( Video Riview Refaree) na Referee anakwenda anangalia either anajitosheleza kama maamuzi aliyekuwa ameamua mara mwanzo aendelee kubakia nayo au anayabadilisha, na si kwa mambo yote yanayotokea kiwanjani lakini kuna baadhi ya mambo Referee anahusika nayo kuzungumza na watu wa VAR".
NB: Kwahivyo wale wenye mashaka na maamuzi ya refa na kupumua kwa shida na kuteseka moyoni kwamba kwanini refa hakwenda kwenye mtambo wa Video Riview Refaree hili hapa somo kutoka kwa msimamizi na mtaalamu mbobezi wa VAR Leslei Liundi.
Kulipewa Mwana Kulitaka Mwana.