Hatareee sana, mwendo ni wa piga ua...ninachoomba ni serikali yetu isiwakubalie waswahili kuzitumia hizi treni mpya, maana siunajua tena mambo yao, wanaweza anza kujisaidia vituoni, kama wanavofanya apo dar kwa mwendokasi! Hadi magu akaaza kulia lia...ova