Yaani wewe mdada, ndio nini unaitiwa ugonvi?? Ulikuwa wapi siku zote hizi, umepitwa na mengi mpenzi. Haya karibu tulikumiss sana.
czungumzii mkong'oto na wala cwezi rusha ngumi/kupigizana kelele na wewe kama mume wangu mbele za watu(public) coz nitakuwa nakudhalilisha na haina sababu na aibu itakuwa yangu, kwenye ile ishu yangu ckufanya fujo bali nilienda kwa nia ya kumchukua tukamalizane mbele ya safari, ni yeye alieniona kwa mbali akatimuka akifuatiwa na hawara yake na hata kama acngetumia but 2kaelewana kwamba twende home then akanielewa hapo walaaa tungeenda kuyamalizia home(nadhani anajua mie kichwa maji akajua ntalianzisha).....hapo blue ctakuwa na muda wa kuomba/kudai talaka nitaondoka inifuate nyuma, na mpaka ifikie hapo aisee ntakuwa nimepambana haswaa, haombi mtu talaka hapa labda yeye alianzishe.....hahahaha!
Hapa mtu anayajua makosa yake ndiyo maana anakimbia kinachonishangaza ni kwamba kesho atarudia tena palepale.Ilishanitokea mimi nilienda hiyo sehemu niliyoambiwa wapo sikuwa na mpango wa vurugu ila tu nilitaka kumwonyesha kwamba hamna anayekusingizia.Lakini walitorokea nyumba ya jirani wakakimbia.
hahahah hii nayo moto...hahaha kweli watu tumepitia vikasheshe, na alivyorudi home ikawaje?
Uso ulikuwa mdogo sana na alijitetea kwamba alikuwa ni mtu anayefanya nae shughuli na kitendo cha mimi kufika pale kimefanya amepoteza pesa nyingi kwa kukosa deal alilokuwa akiongelea na huyo mdada.Maisha yalikuwa lazima yaendelee kwani hakukuwa na kithibiti cha kumtia hatiani moja kwa moja.
The same message I learned from nyumba kubwa kuwa wanawake/ume wengi hawaijui position yao kwenye mahusiano " Kwenye ile thread iliyohusu ujumbe wa simu ambao ungeukuta kwenye simu ya mumeo......wakati tunasema wengine mie ningeupotezea, e.t.c. nyumba kubwa alikuwa mkali na kusema pasingetosha unless amepewa maelezo ya kina.
kipipi...........ongezea na Aksante MUNGU kwa kunipatia huyu awe wangu.
usinikumbushe rafiki nilishapitia hiyo hali na mnyonge wangu alikuwa mwanangu nilikuwa nampiga hasa can u imagine a son of 3 yrs amekataa kunywa dawa unamtandika viboko vya haja sitaki kukumbuka jamani nani kaleta hii post ya machungu namna hii
Mercy - I don't want my boyfriend to go to jail; I love him
STICHES cover her once beautiful face, while pus seeps from her severely cut ear. Her beauty has been tattered, and she may never look the same again. Despite all the pain she's going through, 28-year-old Mercy Ng'uni is a woman in love, ready to forgive the man that almost killed her. Mercy, a Kanyama resident and a mother of three, narrates how her boyfriend severed her ear and sliced face with a bottle. "Nothing really happened for him to beat me up like this. He is my boyfriend and sometimes he spends nights at my place," says Mercy.
Mercy, a hairdresser by profession, narrated that on the fateful day, she knocked off later than her boyfriend name withheld, an issue she suspects may have triggered him to beat her. "On that day he came home at 18 : 00 hours and I came 30 minutes later. All was okay, we talked just as usual and he told me he was going to watch a soccer match at a nearby bar. 20 minutes later he came back. I wondered why he was back so early but he told me he couldn't watch the game," she says. "He later told me to prepare his clothes for the following morning and told me he wanted to sleep," narrated Mercy. "He asked if we had locked the door so that we could go to bed. He later asked for water, and I gave him water as he requested."
Mercy said the man kept tossing in bed and woke up around 23 : 00 hours, wanting to go outside as he claimed he was not feeling too well in the house. "I refused to open the door because it was late. Instead, I opened the window and we started chatting. As we were chatting, we both fell asleep," says Mercy. Mercy says around midnight, she felt someone hitting her with a bottle and she woke up thinking they had been attacked. "I just felt someone hitting me with a bottle and I immediately woke up and screamed that we had been attacked. At this point the bottle had broken and he told me that no one had attacked us and that he was going to kill me," she says.
Mercy narrates that her boyfriend started cutting her face with the bottle and cut her ear. "He started cutting my face while telling me that he was going to kill me, I screamed for help but the bedroom door was looked. I managed to grab his hand and that's how he dropped the bottle. My daughter then rushed to open the outer door and our landlord broke the bedroom door to rescue me," she says. Mercy says the landlord took them to the police station where the man was detained and she was taken to the clinic. "I went to Kanyama clinic but I was told there were no doctors to attend to me and I was referred to the UTH," she says.
Mercy says after she was attended to at University Teaching Hospital, she returned home only to find her ear on the bed. "I found my ear on the bed and I put it in the fridge so that I could have it stitched the following day," she says. Mercy says the following day she called a medical personnel from a private clinic, who followed her home to stitch the ear, but it could not hold. "That's how I lost my ear," Mercy says.
She says this is the second time her boyfriend has beaten her in the two years that they have been together. "The first time he beat me up, he bit me on the cheeks. My phone rang at night and as I was about to answer, the line cut and he got suspicious and started biting me on both cheeks. That was the first time ever he behaved violently," she says. Mercy says her boyfriend was released from police cell three days after the latest the incident and has been begging for forgiveness.
Despite all she has gone through, Mercy says she is more than willing to forgive him. "I don't want him to go to jail; I love him. All I want is for him to assist me financially to acquire good medical attention," she says. However, Mercy's brother Emmanuel just wants her boyfriend to face the law. "I just want him to face the law. If my sister wants him back, that's her problem. She should not come running to us next time," says Emmanuel. Mercy is just one of the many battered women that suffer silently in the name of love. Many have silently died while protecting ‘criminals' all in the name of love.
Big House, waswahili hawakukosea waliposema mapenzi ni upofu..........sometimes it is not about self esteem at all and sometimes we may think we understand things clearly while infact we dont. So when I come across stories like this I just keep telling my self that wonders shall never end. Ndiyo dunia yetu na vitu havitokei wala haviko katika mpangilio ambao ni rahisi kuulewa, kwa maneno mengine hakuna universal rule popote pale.Hii story imenitoa machozi. Huyu dada ana nini? How can you still love such a person. She think she is not good enough and she does not deserve a better man? Wanawake wengi kinachowasumbua ni low self-esteem; hawajithamini kabisa. Tey think they are made for men to use and abuse.
Amen Ruta aksante sana kwa ujumbe huu murua.
nyamayao na Jomse mmenichekesha sana but angalau nyie mmebahatika kuwapata watu wanaojua thamani yenu..........hadi wanakimbia ............ina maana wanaijua nafasi yako wewe kama mke wake. Kuna wanawake wengine jamani wanaletewa mpaka majumbani kwao, sasa piga picha mwanamke wa aina hiyo awakute Bar, si ndiokwanza watanyweshana kabisa hizo beer ili awaone vizuri badala ya kukimbia??
kwanza kabisa mwanamke anaekubali kuletwa kwenye nyumba ya mwanamke mwenzie huyo atakuwa sio mzima ubongoni, wanaume wanajua wanawake wa kuwachezea kiac hicho, wengi tumechezewa rough but ya hivi hapana! kwangu? hapo najua tutakuwa tumeshachokana sasa hakuna usuluhishi na hapo lazima niharibu kabisa coz nitakuwa cna mpango kabisa na hiyo ndoa tena, ntawaachia ukumbushe wote wawili!
Hii story imenitoa machozi. Huyu dada ana nini? How can you still love such a person. She think she is not good enough and she does not deserve a better man? Wanawake wengi kinachowasumbua ni low self-esteem; hawajithamini kabisa. Tey think they are made for men to use and abuse.
my swir....nilibanwa kidogo...nimeshakaribia mpendwa wangu.
afu ww una tabia! ndo nini kutunyima wenzio kucheka tusahau shida zetu? huyo anaekubana muambie aache uzamani,anabana afu anaachia kidogo.mi naendelea kucheka na kupata uzoefu hapa,hehehe!
kwa nn wamama tu wajitahidi, mapenzi ya upande mmoja haya!!wamama na ndoa zao, jitahidini sana jaman waume wameota mapembe