Let me get this straight about the COVID-19 vaccine

Tuombe Serikali isifikie uamuzi huo
Nuremberg Code of experimental ethics ambazo serikali za dunia na serikali yetu included,zimevunja ambazo kwa hizo zinapaswa kupelekwa mahakamani.


Ulaya na Marekani tayari cases are being filed. Africa wanasheria wamelala usingizi totoro.
 

Kinachoendelea nchini kuhusu chanjo kinadhihirisha kuwa wananchi wanafichwa ukweli. Askofu Gwajima anajitahidi kufunua ukweli lakini viongozi wa Serikali wanamwandama. Kwa mfano anasema kuna uwezekano wa mtu kutumika kama robot akipata hiyochanjo kwa kuwa imewekewa vitu vya kutoa habari kwa kutumia "nanotechnology".

Nanotechnology is the understanding and control of matter (gases, liquids and solids) at the nanoscale, at dimensions between approximately 1 and 100 nanometers, where unique phenomena enable novel applications. Application depends on the properties of the matter.

Some nanostructured materials are stronger or have different magnetic properties compared to other forms or sizes of the same material. Others are better at conducting heat or electricity. They may become more chemically reactive or reflect light better or change color as their size or structure is altered.

With nanotechnology it is possible to manipulate the receipient of the nanostructured vaccine
 

Mkuu nanostructured material ambayo ipo kwenye hiyo chanjo ni Graphene Oxide.Hii compound pia ina-conduct electricity and has magnetic properties,na ndio maana watu waliochanjwa wana exibit magnetic properties.

Baada ya kubadilisha DNA za watu kwa kutumia the Microsoft Windows 666 mRNA OS,ambayo ipo kwenye hiyo chanjo,vaccinated people will then be controlled au operated kama computer via 5G satellite facilities stationed in orbit.Mkuu it is so scary,you being operated like a computer?

To me mtu ambaye amechanjwa sio mtu tena,ni kama zombie au robot,because you are controlled, a new product and so by internatinal laws you can be patented.You further do not have human rights because you are not human,you are a GMO.

Mwanadamu ana Genome yake,wewe Genome yako ni tofauti!Hii kitu ina far reaching consequences,ila sijui binadamu kwa nini tumekuwa wajinga kiasi hicho.
 
There is some truth in your post that the mRNA vaccine injects an ‘operating system’ into your body called “The Software of Life”. Hence, there is something big behind the JAB and COVID-19 origin.

Another articles states:

On its website, the pharmaceutical company Moderna, which has developed a COVID-19 vaccine, compares the mRNA science in its vaccine to an “operating system”. They argue that the phrase is used in a metaphorical sense, not a literal one.

According to Moderna, mRNA science is comparable to an operating system because it can be used to tackle multiple different diseases.

“Recognizing the broad potential of mRNA science, we set out to create an mRNA technology platform that functions very much like an operating system on a computer. It is designed so that it can plug and play interchangeably with different programs. In our case, the "program” or “app” is our mRNA drug - the unique mRNA sequence that codes for a protein.”
 
[ Ndio Mwengeso,vaccinated people can be operated like computers,that is the reality.

Nimekuwa nasema hii but people do not seem to understand it.

Wameng'ang'ania tu version ya serikali kwamba hii jab ni kama vaccines zingine,it is not,hiki ni kitu tofauti kabisa,it is not a vaccine,it is an operating system and much more.
 
Maneno haya "it operates very much like an OS" ni ya kihuni ni kitapeli,it is an OS!
 
Tupe hasara na faida ya hizo chanjo,from a scientific perspective, hatutaki udaku.

And this must come from independent verifiers, sio Big Pharma, you cannot be your own judge.

Hatutaki pia from the ACDC, EMC, ECDC or EMA, hawa ni co-conspirators.
 
Wewe ni delusional nutcase
Tupe hasara na faida ya hizo chanjo,from a scientific perspective,hatutaki udaku.And this must come from independent verifiers,sio Big Pharma,you cannot be your own judge.Hatutaki pia from the CDC,EMA or EMA,hawa ni co-conspirators.
 
Wewe ulitakiwa uwe kwenye hospitali ya magonjwa ya akili sio hapa jukwaani ukibwabwaja utopolo wako.
 

Nakuelewa sana! Mungu atupiganie kwa kweli
 
Nimemsikia Prof Janabi (dkt bingwa wa magonjwa ya moyo, Muhimbili) akisema kwamba wanaombukizwa UVIKO-19 wengi huganda damu kuliko waliochanjwa. Kwa maana hiyo uwezekano wa kuganda damu kwa chanjo ni mdogo sana

Uongo !Nilipo mimi wanaokufa kwa Chanjo ni Wenye Umri mdogo na matatizo makubwa yanayowasibu ni ya Damu Stroke, Myokarditis, Thrombozytopenie, Hamophilie na mengine mengi tu ! Niseme Kuweni makini na Chanjo.

Nipo Jikoni vifoo vipo vya chanjo na vina tisha Zaidi , Vinafichwa zaidi[emoji24]
 

Sio Cosmetic! Tupo serious
 
Nakuelewa sana! Mungu atupiganie kwa kweli
Sawa kabisa.Kama wanadamu tupo katika wakati mgumu sana katika historia yetu.Kwa kweli tuna muhitaji Bwana Yesu sasa kuliko wakati wowote mwingine.


Ila naamimi Mungu anajua walio wake, kwa hiyo atatutengenezea mlango wa kutokea.
 
Anayependa maisha yake na uzao wake atakaa mbali na kitu hiki. By the way hizi sio "chanjo" ni gene editing therapy. Mara akili yako inapoanza kufikiri hizi ni "chanjo" you are captured. They are not.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…