Let me make a difference!

JF2050

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2010
Posts
2,085
Reaction score
44
Natafuta rafiki wa kike mgomvi, mbishi, mtukutu, mtata, mkakasi, halafu awe mbaya sana. Mwenye sifa Nipm.
 
psychiatric ward is waiting for you, invited, there!
 
Wewe una sifa gani?

Sifa zangu ni kinyume na hizi: mgomvi, mbishi, mtukutu, mtata, mkakasi.

That's why I have thought having a wonderful woman with such characters would be the best combination ever!

Hata wewe mwenyewe unakiri kwamba "What One Man Doesn't Another Man Will".
 
Simplicity, maana yangu ilikuwa unapotaka rafiki wa hivyo, unatafuta migogoro ya mara kwa itayoukupelekea kuelekea pyschiatric.Si unaona mi nimesema hivyo umeshakasirika? sasa kama ndo maisha ya kila siku hayo si utakuwa kila siku kwenye mooda ya hivyohivyo? Sikumaanisha kuwa we ni kichaa Sorry any way, if I made you mad.
Wewe ndio kichaa, huna sifa kaa pembeni!
 

Sorry mkuu, nimekuelewa. Asikuambie mtu, nikimpata mwenye sifa hizo atatulia sana, what a lovely wife with such a calibre!
[h=3][/h]
 
Natafuta rafiki wa kike mgomvi, mbishi, mtukutu, mtata, mkakasi, halafu awe mbaya sana. Mwenye sifa Nipm.
Since unamtafuta basi sio mbaya.., (Ubaya is Subjective)..., Mzuri / Mbaya kwako ni Mbaya / Mzuri kwa mwingine
 
Cfa zote nnazo kasoro moja mi mzuri..:thumbup::thumbup::thumbup:πŸ˜•πŸ˜•πŸ˜•:thumbup:πŸ˜•πŸ˜•
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…