psychiatric ward is waiting for you, invited, there!
Wewe una sifa gani?
Wewe ndio kichaa, huna sifa kaa pembeni!
We utakuwa mtata, unamfaa, mpiemu basi..ha ha ha mmmh!!!!!!!!!!
We utakuwa mtata, unamfaa, mpiemu basi..
HHuyu atakufaa..??Natafuta rafiki wa kike mgomvi, mbishi, mtukutu, mtata, mkakasi, halafu awe mbaya sana. Mwenye sifa Nipm.
Hata huyo Simplicity akipata huyo mwanamke mgomvi, mbishi, mtukutu, mtata, mkakasi, mbaya sana ndo mke mwema wake toka kwa MunguUkisikia mke mwema kutoka kwa mungu ndo mie....
Simplicity, maana yangu ilikuwa unapotaka rafiki wa hivyo, unatafuta migogoro ya mara kwa itayoukupelekea kuelekea pyschiatric.Si unaona mi nimesema hivyo umeshakasirika? sasa kama ndo maisha ya kila siku hayo si utakuwa kila siku kwenye mooda ya hivyohivyo? Sikumaanisha kuwa we ni kichaa Sorry any way, if I made you mad.
Since unamtafuta basi sio mbaya.., (Ubaya is Subjective)..., Mzuri / Mbaya kwako ni Mbaya / Mzuri kwa mwingineNatafuta rafiki wa kike mgomvi, mbishi, mtukutu, mtata, mkakasi, halafu awe mbaya sana. Mwenye sifa Nipm.
HHuyu atakufaa..??
ha ha ha mmmh!!!!!!!!!!