Hujui kujenga hoja, halafu hii cyo habari ya ki-Intelligencia....magari 400 unayajua ww au umeboreka na foleni ya kwenda mji wa Bush?, Ilivyo ni kwamba Ikulu ni makazi ya Rais....hapo Felly cyo ikulu bali ni ofisi ya rais so pakiungua tutamiss document za nchi za mikataba ya madini ambazo ni siri na ambazo cyo siri zimetunzwa pengine kabisa,, so hata Tsunami ikija we don't care coz aliyeko pale hatuhusu, ila tutackitika vijicent vyetu hapo twins tower na wasomi wetu hapo IFMNipo around ikulu area for three hours magari zaidi ya 400, watu maalfu na i dont see any safety hapa kikisanuka, foleni ya kuvuka kwnda kigamboni ni kubwa sana na sio strengthened security wala measures to address congestion for the safety of our beloved president
wataalam, ni sawa?
Hujui kujenga hoja, halafu hii cyo habari ya ki-Intelligencia....magari 400 unayajua ww au umeboreka na foleni ya kwenda mji wa Bush?, Ilivyo ni kwamba Ikulu ni makazi ya Rais....hapo Felly cyo ikulu bali ni ofisi ya rais so pakiungua tutamiss document za nchi za mikataba ya madini ambazo ni siri na ambazo cyo siri zimetunzwa pengine kabisa,, so hata Tsunami ikija we don't care coz aliyeko pale hatuhusu, ila tutackitika vijicent vyetu hapo twins tower na wasomi wetu hapo IFM
naomba kuwasilisha
ooh Lord, what wrong have we done to allow schizos into the forum??Hujui kujenga hoja, halafu hii cyo habari ya ki-Intelligencia....magari 400 unayajua ww au umeboreka na foleni ya kwenda mji wa Bush?, Ilivyo ni kwamba Ikulu ni makazi ya Rais....hapo Felly cyo ikulu bali ni ofisi ya rais so pakiungua tutamiss document za nchi za mikataba ya madini ambazo ni siri na ambazo cyo siri zimetunzwa pengine kabisa,, so hata Tsunami ikija we don't care coz aliyeko pale hatuhusu, ila tutackitika vijicent vyetu hapo twins tower na wasomi wetu hapo IFM
naomba kuwasilisha
Hujui kujenga hoja, halafu hii cyo habari ya ki-Intelligencia....magari 400 unayajua ww au umeboreka na foleni ya kwenda mji wa Bush?, Ilivyo ni kwamba Ikulu ni makazi ya Rais....hapo Felly cyo ikulu bali ni ofisi ya rais so pakiungua tutamiss document za nchi za mikataba ya madini ambazo ni siri na ambazo cyo siri zimetunzwa pengine kabisa,, so hata Tsunami ikija we don't care coz aliyeko pale hatuhusu, ila tutackitika vijicent vyetu hapo twins tower na wasomi wetu hapo IFM
naomba kuwasilisha
Tunaongelea Ferry au Pennsylvania Ave?Do you know this "1600 Pennsylvania Ave NWWashington, DC 20006"? Kuna magari mangapi yanapita hapa kila siku?
Tunaongelea Ferry au Pennsylvania Ave?
wacha wapigwe na tsunami ahh
Mshamba tu huyo, anaisha majuu kwao?Mtajuaje anaishi majuu..
Nadahani mnaombishia mmepoteza mwelekeo,,,huyu anatoa statistics ya kupinga uongo wa MTM kuwa pale Felly maeneo ya ''Ikulu'' kulikuwa na Magari zaidi ya 400, je inawezeekana kweli hiyo idadi ya magari kwa eneo la Felly kama c uropokaji na utopian?Tunaongelea Ferry au Pennsylvania Ave?
Sijui, naishi bongoDo you know this "1600 Pennsylvania Ave NWWashington, DC 20006"? Kuna magari mangapi yanapita hapa kila siku?