Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 402
Mh pa wakubwa hapa
Ladies and Gentlemen,
Hili swali linaweza kujibiwa na wanaume na wanawake walio kwenye ndoa.
swali zuri sana sio lazima utumie nje ya ndoa..
Mimi na mume wangu tunatumia condom kama njia ya uzazi wa mpango!!! Sote tunajua madawa yana madhara..!
mbona wana ndoa wengi humu hamjibu?mmeshikwa na vigugumizi? aaaaaahhhhhhhhh eeeehhhhhhhh te te teeeeee semeni banaaaaa lol!!
sijaolewa kwa hiyo siwezi lijibia na nikiolewa sitatoka njee ya ndoa
si nje ya ndoa tu hata nje ya girl/boy friend au mchumba kwa anaye jali lazima atumie mkuu
goood morning,,,,!! mi nimepita kuwasalim tuu hamjambooo???:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13: