MkimbizwaMbio
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 868
- 331
Swali zuri sana sio lazima utumie nje ya ndoa..
Mimi na mume wangu tunatumia condom kama njia ya uzazi wa mpango!!! sote tunajua madawa yana madhara..!
Mmmmh mbona mnajitesa hivyo?
Morning Nilham! Tulikumiss kweli, zikaanza speculations. Binafsi nimefurahi umerejea.goood morning,,,,!! mi nimepita kuwasalim tuu hamjambooo???:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:
mbona wana ndoa wengi humu hamjibu?mmeshikwa na vigugumizi? aaaaaahhhhhhhhh eeeehhhhhhhh te te teeeeee semeni banaaaaa lol!!
goood morning,,,,!! mi nimepita kuwasalim tuu hamjambooo???:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:
Ladies and Gentlemen,
Hili swali linaweza kujibiwa na wanaume na wanawake walio kwenye ndoa. Ebu tuwe wakweli, hivi katika siku ambazo bahati mbaya ulianguka kwenye uzinzi kama ni mwanaume je, ulitumia kondomu na kama ni mwanamke je, mwanaume wako alitumia kondomu? Kama kondomu haikutumika, sababu ilikuwa ni nini?? Tuwe wakweli tu. Hapa ni mahali pa kujimwaga.
sijaolewa kwa hiyo siwezi lijibia na nikiolewa sitatoka njee ya ndoa
Ladies and Gentlemen,
Hili swali linaweza kujibiwa na wanaume na wanawake walio kwenye ndoa. Ebu tuwe wakweli, hivi katika siku ambazo bahati mbaya ulianguka kwenye uzinzi kama ni mwanaume je, ulitumia kondomu na kama ni mwanamke je, mwanaume wako alitumia kondomu? Kama kondomu haikutumika, sababu ilikuwa ni nini?? Tuwe wakweli tu. Hapa ni mahali pa kujimwaga.
kwani vipi cpu!ukinijua ndio itakuwaje?Ningekuwa nakujua weweee . . . .
We niruhusu tu ujionee LIVEkwani vipi cpu!ukinijua ndio itakuwaje?
goood morning,,,,!! mi nimepita kuwasalim tuu hamjambooo???:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:
Sijawahi toka nje ya Ndoa. Natumia kwa wife km njia ya kuzuia mimba. Unaweza kutwambia kwa nini Ulitoka nje ya Yako? Ni kipi cha zaidi ulikipata huko nje ambacho mke wako hana au kama mngeongea angekiboresha ukapata kwa raha zako zote?. Unajisikiaje unaporudi home umetoka kuchakachua, unamwona mwenzako zuzu kutojuwa uliyotenda huko?