Let's be open, ni wangapi wanaotumia kondomu wakati wa tendo nje ya ndoa??

ilo ni suala la private kwa wapenzi... sijapenda swali lako maana unrusha jiwe gizani
 
Kwanini uvalishe mwili wako plastic paper? Better don't do it!!
 
goood morning,,,,!! mi nimepita kuwasalim tuu hamjambooo???:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:
Morning Nilham! Tulikumiss kweli, zikaanza speculations. Binafsi nimefurahi umerejea.
 
Haya mkuu, umeamua kuturushia mabomu siyo. Tangu nioe sijachakachua nje. Ila kwa uzoefu mbaya wa ujana huwa ni rahisi kujisahau kutumia kondom ukishazoea uwanja.
 
jamani wanaotoka nje ya ndoa watoe mauzoefu wengina hapana na hapana kabisa hairuhusiwi
 
mbona wana ndoa wengi humu hamjibu?mmeshikwa na vigugumizi? aaaaaahhhhhhhhh eeeehhhhhhhh te te teeeeee semeni banaaaaa lol!!

Susy mbona wewe hujibu bado singo? :wink2:
 
goood morning,,,,!! mi nimepita kuwasalim tuu hamjambooo???:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:

avatar yako au ndiyo picha yako, mashaaalah mtoto wakike.

Tukirudi kwenye maada mimi natumia kondom sasa siwezi kusemea wengine
 

mtazamo wangu 90% hawajasema ukweli
 

ungetoa hayo maneno wengi wangechangia, lakin kwa hayo maneno imeonekana tayari umeshawatusi wenye ndoa (hata kama kweli amewahi kutoka nje) na atajifanya hana ndoa, hawezi kuchangia
 
Sijawahi toka nje ya Ndoa. Natumia kwa wife km njia ya kuzuia mimba. Unaweza kutwambia kwa nini Ulitoka nje ya Yako? Ni kipi cha zaidi ulikipata huko nje ambacho mke wako hana au kama mngeongea angekiboresha ukapata kwa raha zako zote?. Unajisikiaje unaporudi home umetoka kuchakachua, unamwona mwenzako zuzu kutojuwa uliyotenda huko?
 
Chauro; 1652703]jamani wanaotoka nje ya ndoa watoe mauzoefu wengina hapana na hapana kabisa hairuhusiwi[/QUOTE]


Nakumbuka wewe Chauro na DA nyie ndo mlikuwa wakwanza kumpinga Michele kuhusu wanawake walioolewa kutoka nje. Ukawa unasema awaulize walioolewa ajue mambo yalivyo ikiwa na maana kuchakachua ni kawaida. Hakuna cha mtakatifu katika hiyo kitu. Hapa unataka kuzuga kuwa hutoki nje ya ndoa, mbona unakuwa unatuzuga? Usije ukawa kama NOT ENOUGH mada kujicontradict. Sema tu kutokana na Experience yako, ukimwibia mzee huwa unatumia kinga?
 
Na wale wa mi? condom muhimu sana hadanganywi mtu
 

Omba mungu aendelee kukusaidia hivyohivyo na usiwajaji wenzako huwezi jua yaliyowafanya wakafanya hivyo. kwenye ndoa kuna mengi sana kijana endelea kumuomba mungu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…