Let's break silence to Tanzania government over Islael political oppression to Palestine.

Let's break silence to Tanzania government over Islael political oppression to Palestine.

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Wakurungwa

Tanzania bado tunajiweka nyuma sana katika maswala ya kimataifa wakati enzi za Mwalim Nyerere tulikuwa frontier katika Ukombozi wa Afrika dhidi ya Mabeberu ambao wanapoka uhuru wa Afrika wenzetu.

Now Days we remaining silence wakati bado nafasi ya kubwa ya kuwa mpatanishi na msuluhishi katika masuala ya kimataifa inatupa asilimia kubwa do we need US kutuambia Jambo gani Ni sahihi?We are peaceful country why we shouldn't have Contribution over the world peaceful???

Nakumbuka juzi tu,tulitoa takribani bilioni 2 kwa turkey kuonyesha sympathy kwa nature disaster achilia mbali Malawi msaada wa mahindi.

#Let break these silence
 
Kuwa Frontline kwenye hayo mambo ya kimataifa kumeisadia nn nchi?
NB: Andika Kwa lugha unayoimudu vizuri.
 
Wakurungwa

Tanzania bado tunajiweka nyuma sana katika maswala ya kimataifa wakati enzi za Mwalim Nyerere tulikuwa frontier katika Ukombozi wa Afrika dhidi ya Mabeberu ambao wanapoka uhuru wa Afrika wenzetu.

Now Days we remaining silence wakati bado nafasi ya kubwa ya kuwa mpatanishi na msuluhishi katika masuala ya kimataifa inatupa asilimia kubwa do we need US kutuambia Jambo gani Ni sahihi?We are peaceful country why we shouldn't have Contribution over the world peaceful???

Nakumbuka juzi tu,tulitoa takribani bilioni 2 kwa turkey kuonyesha sympathy kwa nature disaster achilia mbali Malawi msaada wa mahindi.

#Let break these silence
Wewe umeona opression ni kwa waarabu tu.Vipi wayahudi hawana haki zao za msingi kama kujilinda???
 
Back
Top Bottom