longlasting halafu sura ya kike,akizeeka unamwacha??Warembo wa JF, natafuta mpenzi for a long lasting relationship. Mwenye sifa zifuatazo atapewa kipaumbele:
Education: Above form 6
Sura: Awe na sura ya kike
Rangi: Mweupe wastani
Body: Awe na sex body and a bit makalio (asiwe mwembamba sana kiasi kwamba hashikiki)
Tabia: Awe na tabia za kike na heshima.
Any one who is lonely, living in Dar and interested to fall in true love is welcome. you can PM me!
hivo vitu red sina mkuu pia nataka wa shorttime relationshipWarembo wa JF, natafuta mpenzi for a long lasting relationship. Mwenye sifa zifuatazo atapewa kipaumbele:
Education: Above form 6
Sura:Awe na sura ya kike
Rangi: Mweupe wastani
Body: Awe na sex body and a bit makalio (asiwe mwembamba sana kiasi kwamba hashikiki)
Tabia: Awe na tabia za kike na heshima.
Any one who is lonely, living in Dar and interested to fall in true love is welcome. you can PM me!
a day a week , month ,year, decade. millenium, forever, infinity just choose oneHow much time?
ya mzee wa kiumeA year may be. Ila kitu kimoja, umesema huna sura ya kike. then which sura do you have?
nichukue bwana nitavaa maskMhh! Utakuwa unanitisha ucku. Nisije nikaota bure.
ahh wew jaman uyo mtu MDORI?
ku fall in love wala akuzingatii vgezo ivyo...na auwez ukadeclare NATAKA NIFALL IN FALL...
una miaka mingap beb?
mmmmmmmh so umenitosa?Nikuchukue upo wapi?
Ukivaa mask utakuwa unanidanganya. You have already made one mistake in love. Cheating!!!!!
so u a conclusion?Nakutose we tena! hata sijakutosa????!!!!
I am just trying to check you for consistence!
ooh for how long? nakufa kwa kuwait am sirias ooohMbona wanawake wanapotongozwa huwa wanawasumbua wanaume. Nipe na mimi muda kidogo wa kujivunga. unajua kukubali moja kwa moja dhambi. Let me say ............................. ngoja nifikirie!