Lets settle this once and for all - hunger in Tanzania

Nairobi News only quoted your hardworking prefect threatening his Tanzanian subjects for stating the truth.
Asiewajua nyie wazee wakugeuza maneno nnani?? Hata muandikaje Tz hatutauza mahindi kamwe tena, ni mwendo wa Unga tu.. You want floor come for it hamtaki kufeni njaa[emoji23][emoji23]
 
wacha kuuliza maswali ya kijinga na haujasoma report! in rural tz yaani akina chato, wanao ugua njaa ni 84%
 
Ukweli ni kuwa isipokuwa ndizi na kongoro watanzania hawana chakula kiingine isipokuwa ubwabwa na chips mayai
 
Ni upumbavu wa hali ya juu kuongelea floods bila kuhusisha ujenzi unaoendelea terminal III. Na mbona zisitokee kabla ya ujenzi wa Terminal III?
 
Ni upumbavu wa hali ya juu kuongelea floods bila kuhusisha ujenzi unaoendelea terminal III. Na mbona zisitokee kabla ya ujenzi wa Terminal III?
hii thread ulijiepusha nayo. ulikuwa tu unapita kimya kimya pembeni hadi Kim Jong un akaingilia kati sasa naona muneanza kubadilisha mada. Ile ya floods mlisha ipoteza na leo najua pamekufa mtu kwa kikundi cha tz propaganda team.
 
hii thread ulijiepusha nayo. ulikuwa tu unapita kimya kimya pembeni hadi Kim Jong un akaingilia kati sasa naona muneanza kubadilisha mada. Ile ya floods mlisha ipoteza na leo najua pamekufa mtu kwa kikundi cha tz propaganda team.
Hamna propaganda team huku kama kikundi chenu cha taarab cha twitter humu ni magetoni ukileta fyokofyoko za ajabu njemba yeyote inakurukia inakupaka ky
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…