Elections 2010 Let's support John Mnyika!

Alaf umenikumbusha. Nina zaidi ya siku tatu sijaonja Kitimoto. Nadhani leo itapendeza kwenda kupunguzia hangover za weekend...

Mafisadi utaijua tu kwa michongo yao. Hili sasa ukilipa ofisi ya maana serikali lazima litengeneza ka-bar kadogodogo ofisini. :becky:
 
Waheshimiwa wanajamvi.
nimetumiwa ujumbe mahususi kutoka kwa mbunge mtarajiwa wa Jimbo la ubungo. Shime tujitokeze tukamuunge mkono kwani pamoja na kura yako lakini kuna gharama za kulinda kura. tushiriki wazalendo.
 
Waheshimiwa wanajamvi.
nimetumiwa ujumbe mahususi kutoka kwa mbunge mtarajiwa wa Jimbo la ubungo. Shime tujitokeze tukamuunge mkono kwani pamoja na kura yako lakini kuna gharama za kulinda kura. tushiriki wazalendo.

Asante mkuu
 
nyota ya mnyika yaendelea kupamnda kila kukicha 03/10/2010 pale ubungo walipo kusanyika vijana zaidi ya miambili na kujitolea kuwa wtakuwa mawakala wake na hizo ni kura zake moja kwa moja jumlisha na wale marafiki wawanafunzi wa shule nyingine, kila mwanafunzi pale akiuwa akionyesha matumain na mnyika kwenye jimbo hilo lililotelekezwa na CCM miaka nendarudi ..... kila mwanafunzi alisikika akisema huu ni muda wa mabadiliko so people tupo tayari kupokea kiongozu makini kwaajili ya ubungo bora nba sibora kiongozi mnyika , slaa tunawaamini tunawahitaji kuratutawapa........... mnyika ndiyo mbunge wetu slaa ndiyo rais wetu.......
 
Mimi naishi tegeta naaidi kufanya kazi yoyote nitakayopewa na chadema siku ya kupiga kura.
 
Naobeni ratiba ya kampeni ya Harima Mdee CHADEMA kawe.
 
Ccm wafeli ubungo ni kwa mbinu chafu za jana walizokuwa wanazifanya ili kamanda mnyika asifanye mkutano wake wa kampeni pale mburahati kiwanja cha barafu, mtendaji wa kata aliita polisi wakaja na gari tatu, ila kwakutumia nguvu ya umma tukafanya mkutano wa nguvu na wananchi waka mchangia kamanda hela za mawakala :
 
Mnyika aendelea kuikamata ubungo kwa kasi ya ajabu leo pale urafiki kwenye mdahalo uliyo kuwa umeandaliwa na forum leadership, aliwafanya watu kutaka aendelee kuonge yeye ndipo msimamizi wa wa mdahalo huwo alipo badili namna ya kuongea na kusema maswali ya sasa ni ya pamoja yaani yata jibiwa na wabunge wote ndipo angalau wakapata nafasi ya kuongea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…