Level ya ufisadi nchini haijawahi kufikiwa tangu tupate uhuru

Level ya ufisadi nchini haijawahi kufikiwa tangu tupate uhuru

Ikulu T

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2023
Posts
1,600
Reaction score
4,714
  • Mawaziri wanatumia mamlaka yao vibaya (huu pia ni wizi)
  • Wakurugenzi wa taasisi wanaiba.
  • Wakurugenzi wa halmashauri wanaiba.
  • watumishi wa kawaida wa halmashauri wanaiba.
  • Kibaya zaidi wezi hawa wanajulikana kwa mujibu wa CAG.
  • Wabunge wanalalamika tu (toothless)
Nchi yetu ipo ICU! kila kitu ni ovyo ovyo ndugu zangu.
 
  • Mawaziri wanatumia mamlaka yao vibaya (huu pia ni wizi)
  • Wakurugenzi wa taasisi wanaiba.
  • Wakurugenzi wa halmashauri wanaiba.
  • watumishi wa kawaida wa halmashauri wanaiba.
  • Kibaya zaidi wezi hawa wanajulikana kwa mujibu wa CAG.
  • Wabunge wanalalamika tu (toothless)
Nchi yetu ipo ICU! kila kitu ni ovyo ovyo ndugu zangu.
Tatizo sio ccm. Ni watanzania kwa ujumla wao.
 

Attachments

  • 20231017_170740.jpg
    20231017_170740.jpg
    80.6 KB · Views: 1
  • Mawaziri wanatumia mamlaka yao vibaya (huu pia ni wizi)
  • Wakurugenzi wa taasisi wanaiba.
  • Wakurugenzi wa halmashauri wanaiba.
  • watumishi wa kawaida wa halmashauri wanaiba.
  • Kibaya zaidi wezi hawa wanajulikana kwa mujibu wa CAG.
  • Wabunge wanalalamika tu (toothless)
Nchi yetu ipo ICU! kila kitu ni ovyo ovyo ndugu zangu.
Hatuwezi kuweka zhsria kali kama ukitiwa hatiani jela maisha au kunyongwa ?
 
Tatizo sio ccm. Ni watanzania kwa ujumla wao.
Tatizo sio ccm ila tatizo ni ccm, imeshindwa kuweka uzalendo kwa watu wake, inekumbatia rushwa, inakumbatia wezi, inalinda mafisadi. Tatizo ni hiki chama na watu wake.
 
Wameuona udhaifu wa Bi Mkubwa, wanampata sifa za kinafiki huku wakijichotea watakavyo, bila aibu wanamuambia eti hakuna wizi na yeye anawasikiliza, maendeleo yanaonekana kila Kona ndio kauli yao ya kuhalalisha ujambazi.
 
Wameuona udhaifu wa Bi Mkubwa, wanampata sifa za kinafiki huku wakijichotea watakavyo, bila aibu wanamuambia eti hakuna wizi na yeye anawasikiliza, maendeleo yanaonekana kila Kona ndio kauli yao ya kuhalalisha ujambazi.
Point👏 mama samia humbly kabisa atupishe yeye pamoja na hawa wez
 
Tatizo sio ccm. Ni watanzania kwa ujumla wao.
Miccm ndio role models wa watanzania. Ndio waasisi wa ufisadi na ndio wanaongoza tangu tupate uhuru. Nasie tukaona ni mambo ya kawaida tu, unalalamika ukiwa nje ya system ukiwa ndani unafaidika basi unatulia ule kwa urefu wa kamba yako.
 
Miccm ndio role models wa watanzania. Ndio waasisi wa ufisadi na ndio wanaongoza tangu tupate uhuru. Nasie tukaona ni mambo ya kawaida tu, unalalamika ukiwa nje ya system ukiwa ndani unafaidika basi unatulia ule kwa urefu wa kamba yako.
Point👏 Hili pia ni tatizo unakuta mtu analalamika akiwa nnje ya system! Akiingia tu anaanza kujipimia kamba yake ilipoishia.
 
  • Mawaziri wanatumia mamlaka yao vibaya (huu pia ni wizi)
  • Wakurugenzi wa taasisi wanaiba.
  • Wakurugenzi wa halmashauri wanaiba.
  • watumishi wa kawaida wa halmashauri wanaiba.
  • Kibaya zaidi wezi hawa wanajulikana kwa mujibu wa CAG.
  • Wabunge wanalalamika tu (toothless)
Nchi yetu ipo ICU! kila kitu ni ovyo ovyo ndugu zangu.
syo kweli nchi sasa iko vema kuliko wakati wa jiwe
wakati wa jiwe yeye mwenyewe ndo alikuwa kibaka la porini
 
Hali hii ya ubadhirifu na matumizi mabaya ya pesa na mali ya umma inatisha sana. Kinachosikitisha zaidi ni kuwa hata Ikulu inahusika kwenye hili.

Wakati huko Dodoma wanazozana kuhusu taarifa za CAG, Rais yuko angani muda wote akipasua anga kuanzia: UAE, India, Zambia, Rwanda na leo yuko Angola!. Pamoja na kuwa ni moja ya majukumu yake kama Rais kuwa na mahusiano na nchi za nje, najiuliza kwa nini hatumii ndege ya Rais iliyonunuliwa kwa ajili ya safari za Rais?

Ndege anayotumia sasa ni ndege mpya Boeing 737-9Max inayobeba abiria zaidi ya 170 yenye ratiba ya kwenda India. Wajumbe wanaoambatana na Rais kwa idadi hiyo huwa wanaenda kutalii au ofisi zao zimeamua kufanya kazi hata nje ya nchi?

Air Tanzania wanasifika kwa kutengeneza hasara, kama Serikali inawalipa vizuri sidhani kama kuna uadilifu hapo maana ATCL inawezesha ubadhirifu kwa kwenda kinyume na ratiba yake ya India. Matokeo yake tunaona Air Tanzania ikitumia Airbus 220-300 kwenda India wakati wahindi wanaolipia kusafiri kwa starehe ya Dreamliner waliwahi kulalamikia mabadiliko ya ndege kama haya.

Air Tanzania inapaswa kubaki kwenye reli kibiashara, kama wataruhusu siasa uchara kuingilia mipango ya kiufundi ya kampuni na ratiba zake zinazolipa, kampuni itarudia historia mbaya ya nyuma.
Ndege kuunguza mafuta hadi mlango wa Red Sea-Gulf of Yemen na kurudi bila kutua na kubeba mzigo wowote huu ni ubadhirifu mwingine kama sio uhujumu uchumi.
 
Hali hii ya ubadhirifu na matumizi mabaya ya pesa ya mali ya umma inatisha sana. Kinachosikitisha zaidi ni kuwa hata Ikulu inahusika kwenye hili.

Wakati huko Dodoma wanazozana kuhusu taarifa za CAG, Rais yuko angani muda wote akipasua anga kuanzia: UAE, India, Zambia, Rwanda na leo yuko Angola!. Pamoja na kuwa ni moja ya majukumu yake kama Rais kuwa na mahusiano na nchi za nje, najiuliza kwa nini hatumii ndege ya Rais iliyonunuliwa kwa ajili ya safari za Rais?

Ndege anayotumia sasa ni ndege mpya Boeing 737-9Max inayobeba abiria zaidi ya 170 yenye ratiba ya kwenda India. Wajumbe wanaoambatana na Rais kwa idadi hiyo huwa wanaenda kutalii au ofisi zao zimeamua kufanya kazi hata nje ya nchi?

Air Tanzania wanasifiwa kwa kutengeneza hasara, kama inawalipa vizuri sidhani kama kuna uadilifu hapo maana ATCL inawezesha ubadhirifu kwa kwenda kinyume na ratiba yake ya India. Matokeo yake tunaona Air Tanzania ikitumia Airbus 220-300 kwenda India wakati wahindi wanaolipia kusafiri kwa starehe ya Dreamliner waliwahi kulalamikia mabadiliko ya ndege kama haya.

Air Tanzania inapaswa kubaki kwenye reli kibiashara, kama wataruhusu siasa uchara kuingilia mipango ya kiufundi ya kampuni na ratiba zake zinazolipa kampuni itarudia historia mbaya ya nyuma.
Ndege kuunguza mafuta hadi mlango wa Red Sea na kurudi bila kutua na kubeba mzigo wowote huu ni ubadhirifu mwingine kama sio uhujumu uchumi.
inasikitisha!
 
Back
Top Bottom